"8. Utastuka hii stage hakuna ndugu wako anaweza kuja kwako, mali zako wameshika wakwe, mke mbishi, jeuri wakati alikua mwema hapa ndio dalili ya kifo jua ushatawaliwa kilichobaki ni rehema za mwenyezi Mungu."
👆👆
Mimi ni Mchagga.
Kuishi na mwanamke wa Kichagga inahitaji akili sana, yaani hawa ndiyo haswa Biblia ilimaanisha.
Sasa ukiwa na akili sana, lazima mtaachana kwa sababu akishashindwa kukutawala atajiweka kando, ila ukiwa mzembe haya sasa unaenda na maji ya mto Kikavu.
Siamini kwamba wanawake wa Kichagga haswa Wamachame kwamba wanawaua waume zao kwa uchawi ama sumu, bali ni stress.
Sababu ya wanaume wengi waliooa Wachagga kufa mapema ni stress zitokanazo na namba 8 hapo juu.
🏃🏃🏃