Tabia ya kuchapa watoto hovyo ni tabia za watu maskini wenye msongo wa mawazo

Tabia ya kuchapa watoto hovyo ni tabia za watu maskini wenye msongo wa mawazo

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!.

Watoto wa matajiri hufanikiwa zaidi kwakuwa ni watoto wanaokua kwa furaha.

Wazazi wao ni marafiki zao.

Mtoto hahitaji majumba ya ghorofa, hahitaji magari ili afurahi. Anahitaji kupendwa na kupewa vizawadi vidogovidogo kabisa.

Uswahili watoto wanadundwa sana , wanakaripiwa sana na wakati mwingine hutukanwa huku wazazi wakijua ndio malezi sahihi.

Mtoto usipomchapa na ukamwonyesha kumjali atafanikiwa zaidi kuliko ukimchapa na kumkaripia hovyo.

Juzi mwanangu P wa miaka 4 alikaripiwa na mama yake(wife wangu) alimwambia kwa ukali "Acha"

Mtoto aliacha kitu alichoambiwa aache ila alimwambia mama yake amwambie acha kwa sauti ndogo huku akitamka hayo maneno. Mama yake alijihisi kawa mtoto halafu mtoto kawa mkubwa.

Msiwachape watoto, watoto ni zao lako. Ukimchapa ni sawa unajichapa wewe mwenyewe. Ikumbukwe tabia za mtoto 75% ni za kwako.
 
Mke wako ndiyo mswahili... Huku uswahilini kwetu hizo tabia za kukaripia watoto huku ukijua fika una sauti mbaya hatuna.
 
Kuchapa mtoto inasaidia sana sana, tuulize sisi tunaoishi huku ambako si sheria mtoto kumpiga
 
Habari!
Watoto wa matajiri hufanikiwa zaidi kwakuwa ni watoto wanaokua kwa furaha.
Wazazi wao ni marafiki zao.
Mtoto hahitaji majumba ya ghorofa, hahitaji magari ili afurahi. Anahitaji kupendwa na kupewa vizawadi vidogovidogo kabisa.
Uswahili watoto wanadundwa sana , wanakaripiwa sana na wakati mwingine hutukanwa huku wazazi wakijua ndio malezi sahihi.
Mtoto usipomchapa na ukamwonyesha kumjali atafanikiwa zaidi kuliko ukimchapa na kumkaripia hovyo.
Juzi mwanangu P wa miaka 4 alikaripiwa na mama yake(wife wangu) alimwambia kwa ukali "Acha"
Mtoto aliacha kitu alichoambiwa aache ila alimwambia mama yake amwambie acha kwa sauti ndogo huku akitamka hayo maneno. Mama yake alijihisi kawa mtoto halafu mtoto kawa mkubwa.
Msiwachape watoto, watoto ni zao lako. Ukimchapa ni sawa unajichapa wewe mwenyewe. Ikumbukwe tabia za mtoto 75% ni za kwako.
You are right umaskini mbaya sana
 
Habari!
Watoto wa matajiri hufanikiwa zaidi kwakuwa ni watoto wanaokua kwa furaha.
Wazazi wao ni marafiki zao.
Mtoto hahitaji majumba ya ghorofa, hahitaji magari ili afurahi. Anahitaji kupendwa na kupewa vizawadi vidogovidogo kabisa.
Uswahili watoto wanadundwa sana , wanakaripiwa sana na wakati mwingine hutukanwa huku wazazi wakijua ndio malezi sahihi.
Mtoto usipomchapa na ukamwonyesha kumjali atafanikiwa zaidi kuliko ukimchapa na kumkaripia hovyo.
Juzi mwanangu P wa miaka 4 alikaripiwa na mama yake(wife wangu) alimwambia kwa ukali "Acha"
Mtoto aliacha kitu alichoambiwa aache ila alimwambia mama yake amwambie acha kwa sauti ndogo huku akitamka hayo maneno. Mama yake alijihisi kawa mtoto halafu mtoto kawa mkubwa.
Msiwachape watoto, watoto ni zao lako. Ukimchapa ni sawa unajichapa wewe mwenyewe. Ikumbukwe tabia za mtoto 75% ni za kwako.
Kuna Matajiri wakubwa kama Wawili hivi nimeshashuhudia wakichapa tena kwa Kuwasulubu kabisa Watoto wao. Je, hapa walikuwa Wanawapenda au Wanawachukia hivyo hawawezi Kukua vyema kama unavyosisitiza?
 
Labda ni washirikina. Mshirikina ni mtu katili zaidi ya maskini.
Nina braza wangu ana pesa nyingi lakini anashindwa hata kuwajengea wazazi nyumba ya uzeeni. Mimi mwenye kipato kidogo ndio nimefanya hivyo.
Braza ni mchawi
Kuna Matajiri wakubwa kama Wawili hivi nimeshashuhudia wakichapa tena kwa Kuwasulubu kabisa Watoto wao. Je, hapa walikuwa Wanawapenda au Wanawachukia hivyo hawawezi Kukua vyema kama unavyosisitiza?
 
Habari!.

Watoto wa matajiri hufanikiwa zaidi kwakuwa ni watoto wanaokua kwa furaha.

Wazazi wao ni marafiki zao.

Mtoto hahitaji majumba ya ghorofa, hahitaji magari ili afurahi. Anahitaji kupendwa na kupewa vizawadi vidogovidogo kabisa.

Uswahili watoto wanadundwa sana , wanakaripiwa sana na wakati mwingine hutukanwa huku wazazi wakijua ndio malezi sahihi.

Mtoto usipomchapa na ukamwonyesha kumjali atafanikiwa zaidi kuliko ukimchapa na kumkaripia hovyo.

Juzi mwanangu P wa miaka 4 alikaripiwa na mama yake(wife wangu) alimwambia kwa ukali "Acha"

Mtoto aliacha kitu alichoambiwa aache ila alimwambia mama yake amwambie acha kwa sauti ndogo huku akitamka hayo maneno. Mama yake alijihisi kawa mtoto halafu mtoto kawa mkubwa.

Msiwachape watoto, watoto ni zao lako. Ukimchapa ni sawa unajichapa wewe mwenyewe. Ikumbukwe tabia za mtoto 75% ni za kwako.

Hahahaha we jamaa umewakalia kooni maskini ulianza na daladala, ukaja mama ntilie Leo kuchapa watoto, nasubiria tu mada ya pombe nijione ni maskini au laah [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuchapa watoto ni tabia za zinjathropus
 
Mtoto anataka upendo na urafiki. Siyo kufokafoka kupigana tu mpaka mtoto anakosa Amani. Asilimia Sabini ya watoto wa mtaani au chocoraa ni matokeo ya kukimbia ukorofi wa wazazi. Julie kwanini watoto wengine wanapenda kwenda kwa ndugu kila Mara au utasikia mtoto kakimbia nyumbani baada ya kupigwa au mateso kuzidi.malezi ya kukoseshana furaha siyo malezi ila ni ukatili
 
Sasa hao matajiri ni saa ngapi wanashinda pamoja na watoto wao mpaka wajue upungufu wao??upuuzi wa watoto wa matajiri waulize wafanyakazi wa matajiri hao,madereva,wafanyakazi za ndani nk.

Baba,mama,hawana muda wa kujua maana wako busy nk.
 
Back
Top Bottom