Tabia ya kuomba hela (Kiholela) imekuwa desturi ya Watanzania wengi

Tabia ya kuomba hela (Kiholela) imekuwa desturi ya Watanzania wengi

Tatizo lako kuu ni " ur a nice guy" .

Stop being a nice.

Don't be sweet because you will be eaten.
 
Pesa ni vitu vidogo umasikini wa Fikra ndo unakusumbua hadi mnaamini pesa ndo kila kitu , na mwisho mnakufa masikini yaani kuombwa buku tano au lakitano ndo mnakaa kuandika nyuzi sijui mmeanza kudata maybe au mpo brainwashed au labda mmeugua mental illiness? Mnachekesha mnapojikuta mmemaliza Maisha
Umaskini ndio tatizo, vijana hawataki kufanya kazi, tunapaswa wambia vijana msingi wa maisha ni kazi ukifanya kazi utapata kipato kitakacho tatua shida zako kuomba omba si kuzuri,
 
Pesa ni vitu vidogo umasikini wa Fikra ndo unakusumbua hadi mnaamini pesa ndo kila kitu , na mwisho mnakufa masikini yaani kuombwa buku tano au lakitano ndo mnakaa kuandika nyuzi sijui mmeanza kudata maybe au mpo brainwashed au labda mmeugua mental illiness? Mnachekesha mnapojikuta mmemaliza Maisha
Majibu ya waomba hela yapo hivi hivi
 
Hili ni tatizo na ni tabia inayonikera sana.

Mtu usipost upo kiwanja flani utashangaa inaingia text "Mzee nisaidie elfu 10 hapo"..

Sawa tunapaswa kusaidiana kwa shida na raha ila ukipata request za kuombwa hela na watu zaidi ya 6 kwa siku mbili tu lazima hata ule moyo wa kiutu unaisha.. utakuwa unafanya kazi ya kuwatumia watu hela tu?

Na hii tabia naiona inakuja kwa kasi sana, Mwanzo nilifikiri ni wanawake tu ndio wenye hii tabia ila kwa sasa mpaka wanaume nao wanaomba hela kama dada zao na mbaya zaidi unamwomba mwanaume mwenzio bila kuzuga zuga.. yaan unaomba ile direct kabisa as if ni haki yako kupewa hiyo hela.

Ndio maana watu wanaamua wakae kimya, maana ukimsalimia mtu tu ni kosa hapo hapo unakula kirungu cha hela ya kula etc..

Na ole wako umuahidi ntakuchekia au ntakutumia.. inageuka kuwa deni, zitapigwa simu mpaka uchanganyikiwe.

Buku 2 ya bundle tu brother
 
Hili ni tatizo na ni tabia inayonikera sana.

Mtu usipost upo kiwanja flani utashangaa inaingia text "Mzee nisaidie elfu 10 hapo"..

Sawa tunapaswa kusaidiana kwa shida na raha ila ukipata request za kuombwa hela na watu zaidi ya 6 kwa siku mbili tu lazima hata ule moyo wa kiutu unaisha.. utakuwa unafanya kazi ya kuwatumia watu hela tu?

Na hii tabia naiona inakuja kwa kasi sana, Mwanzo nilifikiri ni wanawake tu ndio wenye hii tabia ila kwa sasa mpaka wanaume nao wanaomba hela kama dada zao na mbaya zaidi unamwomba mwanaume mwenzio bila kuzuga zuga.. yaan unaomba ile direct kabisa as if ni haki yako kupewa hiyo hela.

Ndio maana watu wanaamua wakae kimya, maana ukimsalimia mtu tu ni kosa hapo hapo unakula kirungu cha hela ya kula etc..

Na ole wako umuahidi ntakuchekia au ntakutumia.. inageuka kuwa deni, zitapigwa simu mpaka uchanganyikiwe.
Kama una jero ambalo halina kazi nitumie hapo then nitakupa kesho maskani. Nataka nijiunge Cha wiki hapa....fanya hivyo
 
Tutasaidiana pale inawezekana
So kila wakati unatoa hela tu
Kuna mmoja nimetoka kumpa kama 50k siku kama 7 hiv zimepita, juzi karudi tena.. hata kuacha interval ya wiki asikilizie hakuna.

Kuna watu hawana mshipa wa aibu.
 
Waelekeze tala, niwezeshe, branch, bustisha, salary advance, mkoba, and the likes. Kesho hawatakusumbua tena.
Ubaya unakuta ww ukihitaji shida ya hela ya chap chap huoni wa kumuomba.. unaenda huko kwenye TALA, Salary Advance etc na bado hicho kidogo ulichokopa utaombwa na utatoa.
 
Pesa ni vitu vidogo umasikini wa Fikra ndo unakusumbua hadi mnaamini pesa ndo kila kitu , na mwisho mnakufa masikini yaani kuombwa buku tano au lakitano ndo mnakaa kuandika nyuzi sijui mmeanza kudata maybe au mpo brainwashed au labda mmeugua mental illiness? Mnachekesha mnapojikuta mmemaliza Maisha
idi-amin-laugh.gif
 
Kama una jero ambalo halina kazi nitumie hapo then nitakupa kesho maskani. Nataka nijiunge Cha wiki hapa....fanya hivyo
"Mzee umeme naona unakaribia kukata alafu shemej yako simpati kwa simu em nitumie 10k hapo nakurudishia kesho"

Imetoka hiyo.. hela hairudishwi na anapotea mpk apate shida tena..
 
Asee unawezaje kuomba ukiwa tayari unachokiomba unacho.
 
Hapa penyewe nasubiri nijibu nini vizinga tayari mtu 5.
Na uwe makini katika kujibu, unaweza jiingiza ktk madeni.

Kitendo cha kusema "poa, ntaangalia" au neno "Sawa" tayari ni DENI na usipowatumia utanuniwa, utachukiwa na kila aina ya dua mbaya utasomewa. Achilia mbali simu na txt za ukumbusho.
 
Na uwe makini katika kujibu, unaweza jiingiza ktk madeni.

Kitendo cha kusema "poa, ntaangalia" au neno "Sawa" tayari ni DENI na usipowatumia utanuniwa, utachukiwa na kila aina ya dua mbaya utasomewa. Achilia mbali simu na txt za ukumbusho.
Tayari km nadaiwa🤦‍♂️.
Nasema kesho haieleweki
 
Back
Top Bottom