APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Kuna barbershop nilikuwa naenda kunyoa, basi ikawa zile chenji maiti namwachia yule jamaa alikuwa ananinyoa, basi nikaacha kumpa vile vibuku mbili tatu nikashangaa kaanza kuninunia.
kumamake nikawa nikifika pale sitaki tena mazoea nae nikinyoa huyooo nasepa.
kuna watu unaweza wapa hela kwa mapenzi yako ukiacha tu kuwapa wanaanza kukuchukia , binadamu bhana!!!!
kumamake nikawa nikifika pale sitaki tena mazoea nae nikinyoa huyooo nasepa.
kuna watu unaweza wapa hela kwa mapenzi yako ukiacha tu kuwapa wanaanza kukuchukia , binadamu bhana!!!!