Hiyo Balaa.Kuna mmoja nimetoka kumpa kama 50k siku kama 7 hiv zimepita, juzi karudi tena.. hata kuacha interval ya wiki asikilizie hakuna.
Kuna watu hawana mshipa wa aibu.
Tena hakuna watu wenye figisu kama vinyozi.. ole wako uende kunyoa saloon nyingine tofauti na yake, utaona tu anavyokumaindKuna barbershop nilikuwa naenda kunyoa, basi ikawa zile chenji maiti namwachia yule jamaa alikuwa ananinyoa, basi nikaacha kumpa vile vibuku mbili tatu nikashangaa kaanza kuninunia.
kumamake nikawa nikifika pale sitaki tena mazoea nae nikinyoa huyooo nasepa.
kuna watu unaweza wapa hela kwa mapenzi yako ukiacha tu kuwapa wanaanza kukuchukia , binadamu bhana!!!!
FactPesa ni vitu vidogo umasikini wa Fikra ndo unakusumbua hadi mnaamini pesa ndo kila kitu , na mwisho mnakufa masikini yaani kuombwa buku tano au lakitano ndo mnakaa kuandika nyuzi sijui mmeanza kudata maybe au mpo brainwashed au labda mmeugua mental illiness? Mnachekesha mnapojikuta mmemaliza Maisha
Ina uma Sana unataka kumwambia kitu kingine yeye anakutolea nje bila kukusikiliza. πππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upo sahihi majibu yao ndo hivyo hivyo yaani OMBA OMBA wanakera sana, mimi siku na wakazia.Majibu ya waomba hela yapo hivi hivi