Tabia ya kuwa na miadi sehemu na mwanamke, yeye anakuja na rafiki zake bado ipo?

Tabia ya kuwa na miadi sehemu na mwanamke, yeye anakuja na rafiki zake bado ipo?

Marconho

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
287
Reaction score
445
Kuna siku nilikua na miadi na manzi mmoja, budget yangu ilikua ni mimi na yeye, nashangaa anafika na nyomi la rafiki zake! Nikawakaribisha kwa roho ya unyenyekevu sana! Wakaona hapa wamepata shem mwenye kujali.

Nikawaeleza waagize chochote! Baada ya hapo nikamuita pembeni yule manzi wangu, tukaelekea kwenye gari, alivyofika nikawasha gari nikachukua simu yake nikaizima! Sijui nini kiliendelea nyuma, ila yule manzi wangu alilaani sana kile kitendo na kusema hao rafiki zake hawataki hata kumuona!

Kuna mtu aliisha wahi kupata mkasa kama huu! Uliukabili vipi?
 
Ulifanya la maana sana! Au kama mfuko wako ungekua njema,ungeteketeza tu 500k, then unaanza mtafuna mmoja baada ya mwingine! Siku wakija shituka usharamba wote!

Hawa viumbe huwa wanafanya maamuzi ya ajabu sana mkuu! Yaani unateketeza pesa kwa mambo ya kipuuzi kabisa!
 
Ulifanya la maana sana! Au kama mfuko wako ungekua njema,ungeteketeza tu 500k, then unaanza mtafuna mmoja baada ya mwingine! Siku wakija shituka usharamba wote!

Bado utajukuta umetumia gharama kubwa zaidi mkuu! Ni kuachana nao kiroho sana huku wakikutana huko walipo!
 
Mwanamke akikufanyia hivyo ujue hakupendi, sema anataka kukupiga Vizinga tu, na hapo anaita wenzie ili kuwatambia kuhusu ww

Chakufanya wakija wengi hivyo unakula nao stories kwa dakika tano then unanyanyuka kua umepata dharula kisha unasepa ukiwaambia mtaonana Siku ingine, picha inaishia hapo tu
 
Mwanamke akikufanyia hivyo ujue hakupendi, sema anataka kukupiga Vizinga tu, na hapo anaita wenzie ili kuwatambia kuhusu ww

Chakufanya wakija wengi hivyo unakula nao stories kwa dakika tano then unanyanyuka kua umepata dharula kisha unasepa ukiwaambia mtaonana Siku ingine, picha inaishia hapo tu

Mkuu hata me yule manzi niliona hanifai nikatana nae mapema tu.
 
[emoji1787]mwanaume aliwaambia waagize watakacho wao wakaagiza vya bei juu kumbe mwanaume hana ela,Mwanaume alitoka kwa staili ya kuongea na simu,walimsubiri kila wakimpigia hapatikani, na wao walikuwa hawana ela walinyang'anywa simu zao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787]mwanaume aliwaambia waagize watakacho wao wakaagiza vya bei juu kumbe mwanaume hana ela,Mwanaume alitoka kwa staili ya kuongea na simu,walimsubiri kila wakimpigia hapatikani, na wao walikuwa hawana ela walinyang'anywa simu zao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787]mwanaume aliwaambia waagize watakacho wao wakaagiza vya bei juu kumbe mwanaume hana ela,Mwanaume alitoka kwa staili ya kuongea na simu,walimsubiri kila wakimpigia hapatikani, na wao walikuwa hawana ela walinyang'anywa simu zao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom