Tabia ya kuwa na miadi sehemu na mwanamke, yeye anakuja na rafiki zake bado ipo?

Tabia ya kuwa na miadi sehemu na mwanamke, yeye anakuja na rafiki zake bado ipo?

Ivyo ndo alifanya vizuri zaidi kusepa ila ingependeza zaidi angemuacha na uyo demu wake hapo kwa wenzake
Ivyo ndo alifanya vizuri zaidi kusepa ila ingependeza zaidi angemuacha na uyo demu wake hapo kwa wenzake
Hapana basi angejikaza kiume akatoa hio walioagiza mara moja kisha wakasepa wakiwaacha hao wanakunywa , hao wangemaliza hawawaoni wangejiongeza kuondoka!!
 
Kiukweli mkuu! Uamzi niliochukua ni sahihi sana kwangu! Ungeanza hizo excuses wasingeweza kupata fundisho! Na ile mtu ajifunze na aelewe vzr ni lazima apitie changamoto kidogo!
Masikini kama hawakua na hela sipati picha walitokaje hapo! Ndomana mimi siwezi kutembea bia akiba yangu hata kama mtu ameniambia anaenda kuninunulia baadhi ya vitu au kunitoa out lazima niwe nahela yangu pembeni!
 
ww ndo walewale
Sina huo ujinga wa kutoka out na mabest zangu! Nimejiweka tu kwenye position ya hao mashost plus niwe sina hata kumi mfukoni au hata kama ninayo iwe kidogo sana ambayo haitoshi hata. Inasikitisha sana.
 
Sina huo ujinga wa kutoka out na mabest zangu! Nimejiweka tu kwenye position ya hao mashost plus niwe sina hata kumi mfukoni au hata kama ninayo iwe kidogo sana ambayo haitoshi hata. Inasikitisha sana.
Ndo tunataka tuikomeshe hii tabia mbovu........
 
Ndo tunataka tuikomeshe hii tabia mbovu........
Hio staili ya ukomeshaji sio nzuri aisee unamwambia tu ukweli huyo mtu wako kuwa hauko vizuri kama muelewa atakuelewa ila kama kichwa maji basi! Ila wa kujifunza atajifunza siku nyingine hatorudia! Pia mnaonekana tu by nature sio wa kujitoa kiivo na hali yenu kiuchumi pia ni tete vinywaji/vyakula kitu gani bana nususaa nyingi mtu anaenda msalani!! Kama unazo unatoa tu uzidi kubarikiwa zaidi!
 
Kama mpo wanne! Mhudumu leta soda nne, chips mayai sahani 2, ku- share wawili. Tena wakarihishe kwa ukarimu. Mwisho waambie pesa yangu inaishia hapa, au kuna ya nyongeza? Okay! Asanteni sana na karibuni tena!
 
Hio staili ya ukomeshaji sio nzuri aisee unamwambia tu ukweli huyo mtu wako kuwa hauko vizuri kama muelewa atakuelewa ila kama kichwa maji basi! Ila wa kujifunza atajifunza siku nyingine hatorudia! Pia mnaonekana tu by nature sio wa kujitoa kiivo na hali yenu kiuchumi pia ni tete vinywaji/vyakula kitu gani bana nususaa nyingi mtu anaenda msalani!!
Ukweli wa nn uambiwe wanawake wenzio juu hapo wamesema ukweli kwamba mwanamke wa ivo hakupendi........hapo jino kwa jino unaachwa kwnye mataa na shost zako ili next time utie adabu

Mkiachwa kwnye mataa mnaanza majungu hana ela mbwa yulee hahaha sasa mlienda kufanyje?.....
 
Mwanamke akikufanyia hivyo ujue hakupendi, sema anataka kukupiga Vizinga tu, na hapo anaita wenzie ili kuwatambia kuhusu ww

Chakufanya wakija wengi hivyo unakula nao stories kwa dakika tano then unanyanyuka kua umepata dharula kisha unasepa ukiwaambia mtaonana Siku ingine, picha inaishia hapo tu
Mkuu sababu ya kutokukupenda huwa ingine ila sababu kinara kabisa ni USWAHILI!!!!!!!!!!!
1. USWAHILI
2.KUTOJITAMBUA
3.HAKUPENDI

Kama mwana hujamuelewa unamwambia tu au unaenda basi sio unamkusanyia Wana vikoba wote haipendezi maana mtashindwa hata kuongea mambo yenu binafsi... Nimefanya uswahili mwingi ila huu HAPANA!
 
Kutokujielewa tu na ukiona unafanyiwa hivyo jua kabisa we mwanaume haupendwi unachunwa tu

Mwanaume unayempenda unaanzaje kumfanyia hivyo

Ilikua ndo first time kudate nae! Niliachana nae mapema tu!
 
Masikini kama hawakua na hela sipati picha walitokaje hapo! Ndomana mimi siwezi kutembea bia akiba yangu hata kama mtu ameniambia anaenda kuninunulia baadhi ya vitu au kunitoa out lazima niwe nahela yangu pembeni!

Hilo ni wazo zuri sana! Ila ni upumbavu sana kumletea boy wako nyomi! Badala ya kuenjoy mkiwa wawili na kufanya yenu, inageuka kuwa fujo na vurugu na makelele yasiyo na maana! Unaambiwa walidhalilishwa ipasavyo.
 
Mkuu sababu ya kutokukupenda huwa ingine ila sababu kinara kabisa ni USWAHILI!!!!!!!!!!!
1. USWAHILI
2.KUTOJITAMBUA
3.HAKUPENDI

Kama mwana hujamuelewa unamwambia tu au unaenda basi sio unamkusanyia Wana vikoba wote haipendezi maana mtashindwa hata kuongea mambo yenu binafsi... Nimefanya uswahili mwingi ila huu HAPANA!

Hakuna kitu kizuri km kuwa wawili tu aisee! Me naona ni uswahili, cz hata km mtu hakupendi ila anajitambua hawezi kukujazia nyomi! Ni uswahili na kutojitambua kwa hapo naungana na wewe!
 
Back
Top Bottom