KERO Tabia ya Shule kuchangisha pesa za mitihani kila wiki inakithiri, Walimu wameifanya kuwa mtaji

KERO Tabia ya Shule kuchangisha pesa za mitihani kila wiki inakithiri, Walimu wameifanya kuwa mtaji

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
kama unaona elimu ni nghali , basi jaribu ujinga.
 
Karibu shule zote za msingi hapa Dar zinachangisha michango ya mitihani kila wiki.Na kiwango chq pesa ni kuanzia 1000 hadi 2000 kutegemea tu na eneo husika.Lakini ukiondoa pesa hiyo ya mitihani ya kila wiki pia kuna pesa ya masomo ya asbh(Hii shule zingine huiita speed test)na kiwango ni kuanzia 200 hadi 500 kutegemea na eneo husika.
Habari ndio hiyo na hiyo ndio habari.
Ccm ooyeeee
 
Kuna jamaa fulani wa platform inaitwa Wachokonozi kama sikosei alizungumzia jambo fulani kuhusu watu wengi kuzaliwa na wahuni, Akimaanisha kama wazazi wako wakishindwa kukupatia malezi yenye ubora na kukutosheleza kimahitaji basi ulizaliwa na kikundi cha wahuni ambao hawakujiandaa na kuwajibika.

Nilimuelewa sana jamaa.
 
Wewe lipa mwanao apate elimu nzuri vinginevyo endelea kuandaa mpiga kura. Private huku unalipa ada kubwa unalipa remedial kisha unalipa special program sasa najiuliza darasa la nne yote hayo atayasoma saa ngapi?
 
Shule nyingi za Msingi na hata Sekondari zimejitengenezea utaratibu wa kuwafanyisha mitihani wanafunzi hasa walio katika mwaka wa mitihani ya Taifa kama Darasa la Nne, Saba, kidato cha pili na nne. Shule hizi hulazimisha wanafunzi kuchangia mitihani hiyo ambayo huifanya kila Jumamosi. Wanafunzi wasiochangia mitihani hiyo huadhibiwa au kujengewa uadui mkubwa na walimu

Shule ya Msingi Darajani iliyopo Kigamboni ni moja ya shule zenye hii tabia ya wanafunzi kuchangishwa pesa za mitihani. Yaani wao kila wiki ni mitihani, halafu Walimu hawasahihishi mitihani ila inasahihishwa na hao hao wanafunzi wanaofanya mitihani. Walimu wao wanaangalia pesa tu.

Mzazi unalipa pesa ya mitihani lakini cha kushangaza mitihani ikiletwa ukikagua unakuta mtoto kakosa ila kawekewa tiki, ukimuuliza anakuambia wanaosahisha ni wanafunzi wenzetu.

Naombeni na hili mlifikishe mtandaoni na mamlaka husika ili hatua stahiki zichukuliwe.
Polisi na wauguzi nao vivyohivyo
 
Acheni hiyo tabia,shule ya msingi Mizimbini,iliyo Kibada na shule ya msingi Kibada,wana tabia hiyo....kama hamtaki kutoa mitihani simuache? Kwani mmelazimishwa?
Kama haujapenda nenda shule husika kaongee na mwalimu mkuu mwanao asifanye hiyo mitihani.Wala mwanao hataguswa maana unaonekana unakwepa jukumu la kuhudumia elimu ya mwanao acha wale watakaoweza waweze kupata maandalizi mazuri usitake mkose wote.Elimu nzuri ni ghali kabla haujafikiria kuongeza familia fikiria pia elimu ya mwanao.
 
Shule nyingi za Msingi na hata Sekondari zimejitengenezea utaratibu wa kuwafanyisha mitihani wanafunzi hasa walio katika mwaka wa mitihani ya Taifa kama Darasa la Nne, Saba, kidato cha pili na nne. Shule hizi hulazimisha wanafunzi kuchangia mitihani hiyo ambayo huifanya kila Jumamosi. Wanafunzi wasiochangia mitihani hiyo huadhibiwa au kujengewa uadui mkubwa na walimu

Shule ya Msingi Darajani iliyopo Kigamboni ni moja ya shule zenye hii tabia ya wanafunzi kuchangishwa pesa za mitihkukani. Yaani wao kila wiki ni mitihani, halafu Walimu hawasahihishi mitihani ila inasahihishwa na hao hao wanafunzi wanaofanya mitihani. Walimu wao wanaangalia pesa tu.

Mzazi unalipa pesa ya mitihani lakini cha kushangaza mitihani ikiletwa ukikagua unakuta mtoto kakosa ila kawekewa tiki, ukimuuliza anakuambia wanaosahisha ni wanafunzi wenzetu.

Naombeni na hili mlifikishe mtandaoni na mamlaka husika ili hatua stahiki zichukuliwe.
Watakula wapi wapo sawa kabisa halafu hapo kila mwalimu ni mwanachama wa ccm.... Sasahiv ukiwa mkosaji jisajili kwanza chamani zen mpango mzima pigeni pesa walimu mmezulimiwa sana
 
Shule nyingi za Msingi na hata Sekondari zimejitengenezea utaratibu wa kuwafanyisha mitihani wanafunzi hasa walio katika mwaka wa mitihani ya Taifa kama Darasa la Nne, Saba, kidato cha pili na nne. Shule hizi hulazimisha wanafunzi kuchangia mitihani hiyo ambayo huifanya kila Jumamosi. Wanafunzi wasiochangia mitihani hiyo huadhibiwa au kujengewa uadui mkubwa na walimu

Shule ya Msingi Darajani iliyopo Kigamboni ni moja ya shule zenye hii tabia ya wanafunzi kuchangishwa pesa za mitihani. Yaani wao kila wiki ni mitihani, halafu Walimu hawasahihishi mitihani ila inasahihishwa na hao hao wanafunzi wanaofanya mitihani. Walimu wao wanaangalia pesa tu.

Mzazi unalipa pesa ya mitihani lakini cha kushangaza mitihani ikiletwa ukikagua unakuta mtoto kakosa ila kawekewa tiki, ukimuuliza anakuambia wanaosahisha ni wanafunzi wenzetu.

Naombeni na hili mlifikishe mtandaoni na mamlaka husika ili hatua stahiki zichukuliwe.
Huwa mnalipanshilingi ngapi Kwa wiki?
 
Kama wanasahisha wenyewe kwa wenyewe walimu waje watuambie lengo la hiyo mitihani kama ni tofauti na kupima uelewa au uwezo wa wanafunzi waseme ni kwa kiwango gani mwalimu anaweza kuimprove ufundishaji wake kwa kuzingatia mahitaji ya wanafunzi au wanafundisha kwa mazoea
Mimi Nina ushahidi kabisa kwasababu nimepitia huko ndio maana sikutaka mwanangu kupeleka huko. Hiyo shule si hitaji jina iko mjini kabisa Dar es salaam
 
Angalia na huyu anaongea kama amekatwa kichwa. Aise nchi hii ndiyo maana viongozi wanawadharau sana wananchi kwasababu ya watu kama nyinyi.

Sasa hapa unaona umetoa bonge la hoja yaani. Au wewe ndio mwalimu mwenyewe unayechangisha michango iliyopigwa marufuku ili tu ikupunguzie ugumu wa maisha?
Mwalimu amekukabia juu ashaona mashambilizi yanaatalisha uhai tumbo lake mkuu.
 
Shule nyingi za Msingi na hata Sekondari zimejitengenezea utaratibu wa kuwafanyisha mitihani wanafunzi hasa walio katika mwaka wa mitihani ya Taifa kama Darasa la Nne, Saba, kidato cha pili na nne. Shule hizi hulazimisha wanafunzi kuchangia mitihani hiyo ambayo huifanya kila Jumamosi. Wanafunzi wasiochangia mitihani hiyo huadhibiwa au kujengewa uadui mkubwa na walimu

Shule ya Msingi Darajani iliyopo Kigamboni ni moja ya shule zenye hii tabia ya wanafunzi kuchangishwa pesa za mitihani. Yaani wao kila wiki ni mitihani, halafu Walimu hawasahihishi mitihani ila inasahihishwa na hao hao wanafunzi wanaofanya mitihani. Walimu wao wanaangalia pesa tu.

Mzazi unalipa pesa ya mitihani lakini cha kushangaza mitihani ikiletwa ukikagua unakuta mtoto kakosa ila kawekewa tiki, ukimuuliza anakuambia wanaosahisha ni wanafunzi wenzetu.

Naombeni na hili mlifikishe mtandaoni na mamlaka husika ili hatua stahiki zichukuliwe.
Mbuzi hula kufuata Urefu wa kamba.
 
Kama wakati unazaa uliishirikisha serikali endelea kusubiri matamko! Timiza wajibu wako pambana mwanao apate elimu bora.....
Watanzania bado tuna safari ndefu sana.

Nilichogunduwa ni kwamba 90% za Watanzania akili ni viazi.
 
Shule nyingi za Msingi na hata Sekondari zimejitengenezea utaratibu wa kuwafanyisha mitihani wanafunzi hasa walio katika mwaka wa mitihani ya Taifa kama Darasa la Nne, Saba, kidato cha pili na nne. Shule hizi hulazimisha wanafunzi kuchangia mitihani hiyo ambayo huifanya kila Jumamosi. Wanafunzi wasiochangia mitihani hiyo huadhibiwa au kujengewa uadui mkubwa na walimu

Shule ya Msingi Darajani iliyopo Kigamboni ni moja ya shule zenye hii tabia ya wanafunzi kuchangishwa pesa za mitihani. Yaani wao kila wiki ni mitihani, halafu Walimu hawasahihishi mitihani ila inasahihishwa na hao hao wanafunzi wanaofanya mitihani. Walimu wao wanaangalia pesa tu.

Mzazi unalipa pesa ya mitihani lakini cha kushangaza mitihani ikiletwa ukikagua unakuta mtoto kakosa ila kawekewa tiki, ukimuuliza anakuambia wanaosahisha ni wanafunzi wenzetu.

Naombeni na hili mlifikishe mtandaoni na mamlaka husika ili hatua stahiki zichukuliwe.
Hakuna Cha Bure Dunia ya sasa ulitaka mitihani ifanywe bure
 
Back
Top Bottom