Sio kweliSio vijana wote wa Arusha bro ni wachache wasiokuwa na akili Lkn usijisahaulishe Zanzibar vijana wanavuliwa ubingwa sana bro na hata hapo sinza na tabata vijana wanaliwa sana kwa chupa za Moet na Hennessy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzigo UMEKATAKitaalamu huko vijana wengi washamponza Mwaikimba.Mbona hatari.
Hawa Waswahili ndio zao, wanachojua ni MIPASHO na MICHAMBO kama mama zaoChaliifrancisco kuna watu wanakutafuta upande huu
Ngoja tuwachore hapa, sie tunawalia ganzi hao masoroHawa Waswahili ndio zao, wanachojua ni MIPASHO na MICHAMBO kama mama zao
Wameandika Uongo na Uzushi mtupu kuwafananisha vijana wa Arusha na hao wabana pua na mapaja wa Dsm [emoji23][emoji23]
MmmhWanakataa bure hawa jamaa wanajikuta wagumu kweli lakini ukweli wanaujua mioyoni mwao
Wewe utakuwa Juma1967Hili suala sijui litakuja kuisha lini, maana noana linaongezeka kila siku.