Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa hata mimiMtoa mada papuchi zilivyojaa huku mtaani na bei imedorora kupita maelezo hadi ukimbilie Instagram utakuwa umelogwa?
Nashangaa!Sasa utamchatishashe bila bando? Lipia bando wacha woga
Siku hizi Una majibu Kama genta..ngoja wakupasue,usiniite kuja kukusaidia vita yakoUna kiherehere mkuu
😂😂 haki utaniacha wanipasue? NitaliaaaSiku hizi Una majibu Kama genta..ngoja wakupasue,usiniite kuja kukusaidia vita yako
Waache tu…wana hamu za kulamba blue tickNashangaa!
Yaani kuchat anataka kwa bando aliloweka nani sijui?
🪒sasa umesema 50% au 60% ni wauzaji bas hapo watakuwa wanaomba uwa-support kwenye biashara zao kumbuka ilo bando ndio analitumia kijitangaza ili awapate.
2k
Naomba nilipieSasa utamchatishashe bila bando? Lipia bando wacha woga
Naomba bando[emoji23]Shauri yako asilimia 60 ni wanaume hao wanatumia majina na account za kike
Kule twitter tunawaita ma parody we ngoja ipo siku wataamka asubuhi chini wanajikuta wameota papuchi
Halafu paap siku hiyo hiyo wanaingia bleed [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji35][emoji35]
Jamani, hata kuchat na mtu hadi liwekwe bando kwanza. Hahaha dunia imekuwa uwanja wa fujo, sasa kama mtu hana hata bando la mawasiliano si shida kweli hiyo.Nashangaa!
Yaani kuchat anataka kwa bando aliloweka nani sijui?
Hamna mchumba ni mara chache sana si unajua kukosea ni mara moja mara ya pili umejifunzaNaomba bando[emoji23]
Inaonekana wamekukulia sana[emoji2440][emoji2440]
Sent using Jamii Forums mobile app