Tabia ya Wanaume wa Dar kudiscuss kina Wema Sepetu

Tabia ya Wanaume wa Dar kudiscuss kina Wema Sepetu

wanaume wa dar wote ni mabebez mkuu au ulikua hujui, ndio maana unasikia uzee mwisho chalinze dar wote ni bebez.

wanaume wanashinda muda wote baba shop wqkitengeneza nywele na kusuguliwa kucha na wamasai unategemea wazungumze nini.

kuna mwingine jana aliniudhi,katoka likizo juzi anafika jana ofisini ananiuliza hivi kweli wema sepetu hana mimba, nilitamani kumtwanga kichwa.

Inaonekana unafanana NA swali uliloulizwa..inakuaje mtu akuulize swali LA kishost kama sio shost yake.....
 
Haaa halafu magazeti yao pendwa ni Ijumaa wekenda, au Kiu, ni vigumu sana kukuta mwanaume anasoma Gazeti kama Daily News halafu umkute anadiscus ujinga
 
Humu ndani full burudani,nimecheka sana!

Wanaume wanatetea uanaume wao kwa maneno balaa! Wanaume wa Dar kipindi kile cha panya road na sasa hili.

Unawatetea 'wanaume wa Dar' who appointed you to be the guardian or spokesperson wao?

If you are a real man, you don't have to fight with a person who SAYS you are not. However, pay attention to the person who tries to SHOW you that you are not a man by SHOWING the world how man you are!
 
Hahahahaha,mleta mada kapiga za mbavu.

-Ndio jiji lenye vijana wnaoongoza kununua magazeti ya udaku
-Ndio jiji lenye wavimba macho weeengi wakiamka asubuhi kwa kukesha wanachati kama popooo
Mikoa yote walielewa agizo la pool table,ila wao tu ndio wabishi.
Madada wajasiriamali kibao wanatusua vwanaume wao Siasa tu,na utasikia ali kiba na Diamond nani tajiri ebbbbbbo
 
Back
Top Bottom