Tabia ya Wanawake kutukana matusi machafu tuwapo faragha

Tabia ya Wanawake kutukana matusi machafu tuwapo faragha

Hahaha.................Mkuu mbona umeamua kuniuliza swali ambalo sikulitegemea

Nyie ndiyo enzi zile za Shuleni Mwalimu alikuwa hataki kukuruhusu kuuliza maswali 😜

Kuku sio Kila Siku, ilikuwa walau mara mbili Kwa Mwezi, hoja yangu ilikuwa kuonesha vile tulikuwa tunapewa kifuta Jasho baada ya kazi kubwa

Sio nyie mnapambana lakini bado mnaombwa kifuta Jasho na Ke wenu
Kwakweli hawa wa kwetu wa sasa ni kausha damu. Ujitume kwa jasho hadi a cum alafu umlipe ujira wa mwiha tena fungu nene. Sasa mambo ni vice versa
 
kuna mdada mflan hiv mwarabu mswahili anatukana balaa.
 
Najua😅....ila si imekuwa kama kiunganishi tu kwa maisha ya siku hizi?serious mtu akisema fuckkkkk unapata ukakasi?
Kuna pisi zikipata mzuka zinakutukania hadi bibi wa mabibi😆kawa kiingereza
Sisi washamba hatujazoea
 
Hili jambo Huwa linanishangaza
Sijui Huwa ni pepo au vipi

Nina mchepuko wangu anafanya kazi Moja ya benk kubwa hapo Dar na mtu wa heshima haswa

Kitu nikiwa nae faragha ananipa matusi ya hatari hadi nashangaa, sijui huwa anapandwa na pepo Gani

Mfano mnaweza kuwa faragha akatamka matusi ya hatari na alivyo ukimtazama na anayotamka faragha haviendani sijui tatizo nini

Si ruhusa kutoa mifano ya matusi hapa JF kutokana na kanuni zao ila ningeandika mengi

Tatizo Huwa ni nini hasa?
Anakutukana wewe au ni kwenye maongezi tu? BTW huyo mwanamke aliyekubali kuwa mchepuko ulitegemea awe na akili zaidi? Kazi anayofanya na mwonekano siyo kigezo cha akili. Kna watu wengi tu wana mwonekano mzuri lakini ni wameficha mengi. Kuhusu kazi anaweza kuwa aliipata kwa kutumia hiyo anakugawia wewe.
 
Anakutukana wewe au ni kwenye maongezi tu? BTW huyo mwanamke aliyekubali kuwa mchepuko ulitegemea awe na akili zaidi? Kazi anayofanya na mwonekano siyo kigezo cha akili. Kna watu wengi tu wana mwonekano mzuri lakini ni wameficha mengi. Kuhusu kazi anaweza kuwa aliipata kwa kutumia hiyo anakugawia wewe.
Wewe sema hujafika mjini upo kwenu Hungumalwa
Yaani hujawahi kuoga matusi ya mrembo ukiwa 6*6
 
Kuna pisi zikipata mzuka zinakutukania hadi bibi wa mabibi😆kawa kiingereza
Sisi washamba hatujazoea
Mwanamke anayetukana kwa kingereza wala sio mtamu...hawa wa kiswahili ndio watamu bwana....alooo unaweza taka zamisha kibamia chote
 
Wewe sema hujafika mjini upo kwenu Hungumalwa
Yaani hujawahi kuoga matusi ya mrembo ukiwa 6*6
Ahaa.. Sijui nikuambiaje. Naona wewe ndiye mshamba kwani mimi niko level ya kimataifa zaidi. Ulivyoelezea mimi nilidhani unasema haya matusi wanayotukana wanawake wa uswazi wanapoudhiwa. Kumbe wewe unashangaa zile wazungu wanaita trash-talks during sex. Kuna ''amri'' moja kuhusu hili. Amri inasema hakikisha mwenzako yuko well informed kuhusu hili jambo. Yaani hakikisha mwenzako siyo mshamba na hatakushangaa ''unapotukana''. Huyo mama kosa lake amevunja hii amri kwa kutukana wakati aliye naye ni mshamba kiasi cha kufungulia thread jambo kama hili.
 
Ahaa.. Sijui nikuambiaje. Naona wewe ndiye mshamba kwani mimi niko level ya kimataifa zaidi. Ulivyoelezea mimi nilidhani unasema haya matusi wanayotukana wanawake wa uswazi wanapoudhiwa. Kumbe wewe unashangaa zile wazungu wanaita trash-talks during sex. Kuna ''amri'' moja kuhusu hili. Amri inasema hakikisha mwenzako yuko well informed kuhusu hili jambo. Yaani hakikisha mwenzako siyo mshamba na hatakushangaa ''unapotukana''. Huyo mama kosa lake amevunja hii amri kwa kutukana wakati aliye naye ni mshamba kiasi cha kufungulia thread jambo kama hili.
Sawa Malaya international
 
Back
Top Bottom