Tabia ya Wanawake kutukana matusi machafu tuwapo faragha

Tabia ya Wanawake kutukana matusi machafu tuwapo faragha

Mjombaa unatupigaa zile 47 sio!!! 🤣🤣🤣🤣
Hebu ngoja nikuunge mahala kwa mtoto mmoja hivi usahau vigelegele vya 47 ule matusi yakutosha 🤣😁😁
Hahaha............hivi na Uzee huu nitaweza kweli hiyo kazi unayotaka kunipasia

Mwambie kabisa Mimi nimezeeka, kwahiyo vyema kuwe na muda wa mapumziko, bila kusahau dawa zangu za Presha 🤗
 
Bila shaka wewe ni mzee ama ni aina ya wale vijana wa kwaya au wale vijana wenye hurka za kizee, yaani kwenye mapenzi ya faragha wewe unaleta heshima?, huko ndipo mahala pekee pa kuonesha ufuska wako na uhodari wa mapenzi, then wewe unaleta upadri kwenye faragha?, Nina uhakika uyo mchepuko hakupendi, ni vile tu anataka kufaidi pesa zako, maana wanawake wote kiuhalisia wanapenda kuact kimalaya na kutreatiwa kimalaya wawapo faraghani.

Siku ukifirisika huyo manzi atakukimbia na kurudi kwa bodaboda wake anayejua Nini maana ya mapenzi, wewe endelea kuhubiri kwaya faraghani, pia kumbuka kumchunguza mkeo, huenda hafuraishwi na aina ya mapenzi unayompa.
 
Bila shaka wewe ni mzee ama ni aina ya wale vijana wa kwaya au wale vijana wenye hurka za kizee, yaani kwenye mapenzi ya faragha wewe unaleta heshima?, huko ndipo mahala pekee pa kuonesha ufuska wako na uhodari wa mapenzi, then wewe unaleta upadri kwenye faragha?, Nina uhakika uyo mchepuko hakupendi, ni vile tu anataka kufaidi pesa zako, maana wanawake wote kiuhalisia wanapenda kuact kimalaya na kutreatiwa kimalaya wawapo faraghani.

Siku ukifirisika huyo manzi atakukimbia na kurudi kwa bodaboda wake anayejua Nini maana ya mapenzi, wewe endelea kuhubiri kwaya faraghani, pia kumbuka kumchunguza mkeo, huenda hafuraishwi na aina ya mapenzi unayompa.
Tupe uzoefu
 
Hili jambo Huwa linanishangaza
Sijui Huwa ni pepo au vipi

Nina mchepuko wangu anafanya kazi Moja ya benk kubwa hapo Dar na mtu wa heshima haswa

Kitu nikiwa nae faragha ananipa matusi ya hatari hadi nashangaa, sijui huwa anapandwa na pepo Gani

Mfano mnaweza kuwa faragha akatamka matusi ya hatari na alivyo ukimtazama na anayotamka faragha haviendani sijui tatizo nini

Si ruhusa kutoa mifano ya matusi hapa JF kutokana na kanuni zao ila ningeandika mengi

Tatizo Huwa ni nini hasa?
Kama huwez kuyaandika umeshindwa hata kutuwekea voice note
 
Hahaha............hivi na Uzee huu nitaweza kweli hiyo kazi unayotaka kunipasia

Mwambie kabisa Mimi nimezeeka, kwahiyo vyema kuwe na muda wa mapumziko, bila kusahau dawa zangu za Presha 🤗
Tuliaa mzee mwenzangu, umri nae umeenda anapiga jaramba, nimemwambia utacheza na veteran matusi kidogo half time everytime 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom