Tabia ya Wanawake kutukana matusi machafu tuwapo faragha

Tabia ya Wanawake kutukana matusi machafu tuwapo faragha

Hili jambo Huwa linanishangaza
Sijui Huwa ni pepo au vipi

Nina mchepuko wangu anafanya kazi Moja ya benk kubwa hapo Dar na mtu wa heshima haswa

Kitu nikiwa nae faragha ananipa matusi ya hatari hadi nashangaa, sijui huwa anapandwa na pepo Gani

Mfano mnaweza kuwa faragha akatamka matusi ya hatari na alivyo ukimtazama na anayotamka faragha haviendani sijui tatizo nini

Si ruhusa kutoa mifano ya matusi hapa JF kutokana na kanuni zao ila ningeandika mengi

Tatizo Huwa ni nini hasa?
na mke wako huwa anatukana? maana umesema huyo mchepuko kama anatukana basi tuwaulize wanawake lakini kama hatukani muulize mchepuko sababu ni nni
 
na mke wako huwa anatukana? maana umesema huyo mchepuko kama anatukana basi tuwaulize wanawake lakini kama hatukani muulize mchepuko sababu ni nni
Kama hujawahi kutukanwa
Basi hujafika mjini
 
Hili jambo Huwa linanishangaza
Sijui Huwa ni pepo au vipi

Nina mchepuko wangu anafanya kazi Moja ya benk kubwa hapo Dar na mtu wa heshima haswa

Kitu nikiwa nae faragha ananipa matusi ya hatari hadi nashangaa, sijui huwa anapandwa na pepo Gani

Mfano mnaweza kuwa faragha akatamka matusi ya hatari na alivyo ukimtazama na anayotamka faragha haviendani sijui tatizo nini

Si ruhusa kutoa mifano ya matusi hapa JF kutokana na kanuni zao ila ningeandika mengi

Tatizo Huwa ni nini hasa?
Unamla Mixx by Yass?
 
Hili jambo Huwa linanishangaza
Sijui Huwa ni pepo au vipi

Nina mchepuko wangu anafanya kazi Moja ya benk kubwa hapo Dar na mtu wa heshima haswa

Kitu nikiwa nae faragha ananipa matusi ya hatari hadi nashangaa, sijui huwa anapandwa na pepo Gani

Mfano mnaweza kuwa faragha akatamka matusi ya hatari na alivyo ukimtazama na anayotamka faragha haviendani sijui tatizo nini

Si ruhusa kutoa mifano ya matusi hapa JF kutokana na kanuni zao ila ningeandika mengi

Tatizo Huwa ni nini hasa?
na bado umegandamana na hilo Pepo right?🐒

sasa wewe beba hilo bomu kaliweke ndani,

ila baadae usije kutia huruma humu jukwani tena 🐒

Mungu hamtupi mja wake ndiyo hiyo sasa, unaonyeshwa ukaidi but unapuuza na unakomaa nao kumbe ni bomu
 
Back
Top Bottom