Tabia ya Wanawake kutukana matusi machafu tuwapo faragha

Tabia ya Wanawake kutukana matusi machafu tuwapo faragha

Mzeya uwezo hapa duniani tunazidiana. Mambo ya kuparamia mambo makubwa mie sitaki.
Wenye degree waoa e wenyewe kwa wenyewe sio backbenchers tutaona wenyewe kwa wenyewe.

Turahisishe maisha mkuu stick to ur own level
Hahaha..........Kila la heri Mkuu

Hata sisi tulioana darasa la 4 la Mkoloni lakini ndoa zetu zimetulia hadi tumezeeka sasa
 
Hili jambo Huwa linanishangaza
Sijui Huwa ni pepo au vipi

Nina mchepuko wangu anafanya kazi Moja ya benk kubwa hapo Dar na mtu wa heshima haswa

Kitu nikiwa nae faragha ananipa matusi ya hatari hadi nashangaa, sijui huwa anapandwa na pepo Gani

Mfano mnaweza kuwa faragha akatamka matusi ya hatari na alivyo ukimtazama na anayotamka faragha haviendani sijui tatizo nini

Si ruhusa kutoa mifano ya matusi hapa JF kutokana na kanuni zao ila ningeandika mengi

Tatizo Huwa ni nini hasa?
Aaaah baharia unatuangusha! Unaweza kuyataja hayo matusi kwa kutumia code tulizokubaliana tuzitumie kwenye kikao!
 
Matusi yenyewe sasa ...👇👇👇
20241204_185923.jpg


#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Hili jambo Huwa linanishangaza
Sijui Huwa ni pepo au vipi

Nina mchepuko wangu anafanya kazi Moja ya benk kubwa hapo Dar na mtu wa heshima haswa

Kitu nikiwa nae faragha ananipa matusi ya hatari hadi nashangaa, sijui huwa anapandwa na pepo Gani

Mfano mnaweza kuwa faragha akatamka matusi ya hatari na alivyo ukimtazama na anayotamka faragha haviendani sijui tatizo nini

Si ruhusa kutoa mifano ya matusi hapa JF kutokana na kanuni zao ila ningeandika mengi

Tatizo Huwa ni nini hasa?
Inawezekana unabahatika kukutana na majambazi kwenye uga huo.
 
Back
Top Bottom