Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Standard 7 na Masters ndiyo Pazuri, mnazaa watoto ma-geniusWanawake wa masters na mie d t mix.
Mie nilikuwa back bencher sasa mke msomi nitamweza handle vipi? Kwanza tutaongea nini tuelewane? Mie story zangu ni migegedo na mambo ya simba na yanga. Wacha akaolewe na wenye masters wenzake wataenjoy