Tabia ya waumini wengi wa KKKT kuondoka kabla ya ibada kuisha, Ni ishara kanisa linahitaji mabadiliko makubwa ya uendeshaji wa ibada

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba ufahamu hakika kuwa huku kwetu waumini na viongozi wa KKKT hawana tabia hiyo.
Jaribu kuweka wazi umeongelea KKKT usharika gani?
 
😆Hii ni serious kabisa au umenogesha tu uzi? Ndo leo nasikia sadaka ya namna hii
 
Kila kitu kina kiasi, hata hayo matangazo ya kwenye luninga hayarudiwi kwa mfululizo hupita muda ndipo lirudiwe tena,
 
Misaa masaa zaidi ya 3 mnafanya nini humo ndani, kama ni matangazo ndio yanawakalisha muda wote huo basi kuna tatizo la kutumia muda vizuri.
Ni kheri muda upotee kwenye mahubiri ila sio matangazo.

Na ninyi si huwa mna jumuiya ndogondogo, sasa inakuaje mnakua na matangazo mengi?? Uongozi unakutana na viongozi wa hizo jumuia wanapewa matanga, o wanaenda kuwaelewesha waumini, ikifika jumapili basi maelekezo yanakua sio mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…