Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Una stahili kua super womanMimi kuna watoto wa dada anguu. Walinambia usiwe unakuja kwetu unatumalizia chakula, na Kuna Kipindi Nilikuwa Mgeni nikafikia kwao, walinambia toka kwetu hatutaki wageni, walikuwa wakubwa tu Kama 10yrs na mwingine 12years hivi...
Asa hivi namaisha yangu,
Sasa hivi ni wakubwa. Na nawapenda.. Ila hizo tabia sijui Kama bado wanazo
Na wanapenda Kweli kuja kwangu coz Kuna zawadi nawachukuliaga wakija wanazikuta. Kuna mda Nacheka na kusema sijui walipataga wapi zile tabia
Hiki kizazi kimeshabunguliwa kabisa.wamama wa dar haoo...waswahili
Vingne vinakatikaa Zile nyimbo za Vigodoroo balaa... Siku ioo nlikuwa natoka chuo bhana nkakuta mahali walee wapiga ngoma za Vigodoro wanapitaa Aiseee kuna mtoto haizdi miaka 5 lakini alikuwa kabinukaaa kiuno juu anakatikaa...Nilikaangalia kakacheka Sana huku kanakatikaaa...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119]Ila pia vitoto vya dar vinaongea jamaniii[emoji23][emoji23][emoji23] unakuta kadogoo kanaongea kila kitu
Halafu utakuta wamama wamekaa hapo nje wanakaanga chips za jerojero za kufunga kwenye nylon. No one cares, so pathetic. Ukivigusa utachambwa mbaka babu zako wa 17th century.Vingne vinakatikaa Zile nyimbo za Vigodoroo balaa... Siku ioo nlikuwa natoka chuo bhana nkakuta mahali walee wapiga ngoma za Vigodoro wanapitaa Aiseee kuna mtoto haizdi miaka 5 lakini alikuwa kabinukaaa kiuno juu anakatikaa...Nilikaangalia kakacheka Sana huku kanakatikaaa...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119]
Nilipotezea tu mkuu.. Na ni rafiki yangu hadi Leo.Maskini dadaa wa watu aliaibikaa
Hahaha, pamoja na utundu kuiga iga kwa watoto wengine piaUlikua mtundu tuu. Si kilikua kinapitisha mkojo lakini?
Swadakta, binafsi mtoto wa hivi nampenda sanaRaha ya mtoto umsemee akusikie, mtoto awe kasikivu, ukikiambia acha kanaacha kweli,
[emoji16][emoji16][emoji16]Alafu kesho ameishia la sabaa kapata mimba unatafuta mchawi...!! Ofcoz kulikuwa na wamama wamekaa pembeni wanachek tuuHalafu utakuta wamama wamekaa hapo nje wanakaanga chips za jerojero za kufunga kwenye nylon. No one cares, so pathetic. Ukivigusa utachambwa mbaka babu zako 17th century.
na ni nadra kuwakuta wakaacha kweli, either uwaambie acha zaidi ya mara saba au ukuachishe kwa kumtishia hata kumfinyaSwadakta, binafsi mtoto wa hivi nampenda sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wewe inaelekea ulianza kuwalaa mapemaaHahaha, pamoja na utundu kuiga iga kwa watoto wengine pia
Yaani utotoni kuna kujaribu jaribu vitu, halafu nadhani labda nilikuwa na hisia hiyo kitu inafanya kazi zaidi ya kujojoa
Umenikimbusha mdogo wangu alikutwa anachora ukuta wa nyumba, Mama akamaind akamlamba banzi la maana then akamwambia akatafute maji afute. Dogo akakimbia ndani akachukua maji akaanza kufuta, maji yakaisha but alama zilikuwa zinaonekana akafata tena maji akaja akasafisha hadi pakawa safi. Alipomaliza akaenda kumwonyesha mama kuwa tayari. Nilivutiwa sana, muda huo alikuwa na miaka miwili. Ni msikivu sana huyu dogo, ila anachonikera ni tabia yake ya kuogopa mijusiπππ. Now niko likizo wengine wote wako shule sasa kanifanya mimi kuwa bodyguard wake, akiona mjusi anakuita ukafukuze, bila hivyo hapakaliki, full kulialia.Swadakta, binafsi mtoto wa hivi nampenda sana
Kupanga ni kuchagua.[emoji16][emoji16][emoji16]Alafu kesho ameishia la sabaa kapata mimba unatafuta mchawi...!! Ofcoz kulikuwa na wamama wamekaa pembeni wanachek tuu
yeah, Najua alikuwa anamaanisha kabisa na mama yao Nilimwambia hajachukua hatua yoyote, kwa vile Nilikuwa mpitaji tu, sikuona shida kuvumilia... Niliuchuna na maisha yakaendeleaBhasi Una moyoo wa tofauti sanaa aisee...!! miaka 12 anaelewa ninii anafanyaa so kukwambia vile alikuwa Ana maanishaa... Duuh
Sijawahi kuwa na kinyongo kabisa, sasa hivi ni wakubwa eti, na wakijaga kwangu wanajuaga nawapenda nipo radhi niwaridhishe wafurahi ila me nikose.... Najuaga labda ulikuwa utoto. Na sasa nisipoenda kwako ntapigiwa cm na wanalalamika kabisa Mbona hauji kwetu.. Watoto bwana πππUna stahili kua super woman
Inaonekana hata kwenye life huna kinyongo
Walivosema hivo wazazi wao walisikia ? Na wifanya nini baada ya kusikiaSijawahi kuwa na kinyongo kabisa, sasa hivi ni wakubwa eti, na wakijaga kwangu wanajuaga nawapenda nipo radhi niwaridhishe wafurahi ila me nikose.... Najuaga labda ulikuwa utoto. Na sasa nisipoenda kwako ntapigiwa cm na wanalalamika kabisa Mbona hauji kwetu.. Watoto bwana [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii umechelewa hii ndio huwa siielewagi...sasa aliopo anachelewa nini kuiweka hii dhahabu ndani...Duh, umechelewa mkuu
Wazazi wengi wanaona ndio ujanjaNawashangaaga sana wazazi wanaochekelea watoto wanaoongea hovyo na watu wazima wakihisi ndio akili au ujanja