Tabia za Ajabu za Watoto

Tabia za Ajabu za Watoto

Hiyo inatokana na genes chafu za wazazi zikiungana na vile vile malezi mabaya ya mtoto anapokuwa mdogo hasa mazingira anayokulia kuanzia age 1-5yrs
 
*Watoto Wa Siku Hizi Balaa Tupu,, Mheshiwa flani hivi
Alikuwa Na MKUTANO Akasema Waliojenga
Majumba Karibu Na Barabara Nyumba Zao
Zitawekwa X,, Watoto Wote Wakashangilia
Kwa Furaha,, MTOTO Mmoja Akasema
Mheshimiwa Ukiweka X Weka Za Kibongo!!!
WAZUNGU Tumewachoka Hawavai Shanga,,
Mheshimiwa Hoi!
 
Asilimia kubwa ya malezi ya watoto sis wanawake tunachangia kuwaharibu tukijiona tunawapenda sana

Kuna rafiki yangu akitoka kwenda mjini au kokote lazima ampe mtoto wake hela hata kuanzia mia mbili namwambia kuna siku utakosa utamfundisha udokoz na kweli anasachi pochi ya mama ake anachukua hela anatoka ana miaka miwili tu

Muda mwengine tunaogopa kusema sana au kuact na hivo vitendo sababu ya wenzetu hatujui wanavotuchukulia
Kwa asilimia 98 kina mama ndio mnaharibu watoto
 
Kwa asilimia 98 kina mama ndio mnaharibu watoto
ni kweli mana muda mwingi mtoto anashinda na sisi kuliko nyie, tunahadaika na malezi ya kizungu bila kujua tunawaharib

Kuna mtoto wa jirani yangu aliwah kunitukana matusi makubwa ambayo hata kuyatamka ni mtihani nilimchapa mbele ya mama ake mwisho nikamwambia mama ake ukiwa unatukana hakikisha watoto wako hawapo karibu wanawasikia leo amentukana mm nimemchapa kesho atatukana kwengine sjui watamfanyaje na kama mzazi unajitia aibu

Yan malezi ya siku hizi ni mabovu sana mtoto anakua anajua mama ananipenda hawezi kunichapa hawezi kunifokea hawezi kunifanya kitu, matokeo akishakia mkubwa mzaz anamshindwa mapemaa
 
Raha ya mtoto umsemee akusikie, mtoto awe kasikivu, ukikiambia acha kanaacha kweli,

Kuna mtoto alikua anapenda kuja sana home akikuta nimetandika vizur sitting room anatoa vitambaa anatupa chini, me naokota natandika tena anakuja ana toa kama mchezo mwisho nilimkata jicho mtoto wa watu aliteremka akaenda kwao akawa ananiogopa mpaka nakaonea huruma

Mtoto aliezoea kuomba omba sjui najisikiaje yan asione mtu kapita na kitu anamfata anaomba hii tabia binafsi inanikera sana
 
Katika vitu ambavyo nilishapiga marufuku kwangu ni kutukana matusi maana ukiwa unamtukana unamfundisha baadae atakutukana we mkubwa,mtoto anatukana harafu mama anaanza kusema sijui kayajuaje haya au litoto linakuwa linakuja kuwa na tabia za hovyo mama anabaki kulalama tu kuwa mwanangu walimroga hakuwaga hivi
ni kweli mana muda mwingi mtoto anashinda na sisi kuliko nyie, tunahadaika na malezi ya kizungu bila kujua tunawaharib

Kuna mtoto wa jirani yangu aliwah kunitukana matusi makubwa ambayo hata kuyatamka ni mtihani nilimchapa mbele ya mama ake mwisho nikamwambia mama ake ukiwa unatukana hakikisha watoto wako hawapo karibu wanawasikia leo amentukana mm nimemchapa kesho atatukana kwengine sjui watamfanyaje na kama mzazi unajitia aibu

Yan malezi ya siku hizi ni mabovu sana mtoto anakua anajua mama ananipenda hawezi kunichapa hawezi kunifokea hawezi kunifanya kitu, matokeo akishakia mkubwa mzaz anamshindwa mapemaa
 
ni kweli mana muda mwingi mtoto anashinda na sisi kuliko nyie, tunahadaika na malezi ya kizungu bila kujua tunawaharib

Kuna mtoto wa jirani yangu aliwah kunitukana matusi makubwa ambayo hata kuyatamka ni mtihani nilimchapa mbele ya mama ake mwisho nikamwambia mama ake ukiwa unatukana hakikisha watoto wako hawapo karibu wanawasikia leo amentukana mm nimemchapa kesho atatukana kwengine sjui watamfanyaje na kama mzazi unajitia aibu

Yan malezi ya siku hizi ni mabovu sana mtoto anakua anajua mama ananipenda hawezi kunichapa hawezi kunifokea hawezi kunifanya kitu, matokeo akishakia mkubwa mzaz anamshindwa mapemaa
Wanawake wa kiswahili hasa Dar kutukana mbele ya watoto kawaida tuu...!! yani wanaharbu Sana watoto
 
Raha ya mtoto umsemee akusikie, mtoto awe kasikivu, ukikiambia acha kanaacha kweli,

Kuna mtoto alikua anapenda kuja sana home akikuta nimetandika vizur sitting room anatoa vitambaa anatupa chini, me naokota natandika tena anakuja ana toa kama mchezo mwisho nilimkata jicho mtoto wa watu aliteremka akaenda kwao akawa ananiogopa mpaka nakaonea huruma

Mtoto aliezoea kuomba omba sjui najisikiaje yan asione mtu kapita na kitu anamfata anaomba hii tabia binafsi inanikera sana
[emoji16][emoji16][emoji16]Huyo alikiwa anazingua
 
Waswahili wana msemo wao mtoto umleavyo ndivyo akuavyo ni sahihi kabisa

Nakumbuka had nakua najifaham ile mtu kuniambia mjinga wewe niliona tusi kubwa sana achilia hayo mengine mekuja yajua ukubwani na sikuwah wasikia wazazi wangu wakiyatamka

Unakuta toto kubwa haliamkii watu halaf mama ake anaona sawa kabisa unakutana naye mnaangaliana macho kwa macho kuna mmoja niliwah kumtania kwa kukuamkia na akanijibu marahaba hujambo nikajua anajua kuamkia kafanya kusud tu
Katika vitu ambavyo nilishapiga marufuku kwangu ni kutukana matusi maana ukiwa unamtukana unamfundisha baadae atakutukana we mkubwa,mtoto anatukana harafu mama anaanza kusema sijui kayajuaje haya au litoto linakuwa linakuja kuwa na tabia za hovyo mama anabaki kulalama tu kuwa mwanangu walimroga hakuwaga hivi
 
Sio dar pekee hata sehem zingine wako hivo mama anatukana balaa hajui kuna wanawe wanamskia yote ni wao walivyokuzwa tabgu utotoni
Wanawake wa kiswahili hasa Dar kutukana mbele ya watoto kawaida tuu...!! yani wanaharbu Sana watoto
 
[emoji16][emoji16][emoji16]Huyo alikiwa anazingua
yaani nilimkata jicho yule mtoto aakawa ananiogopa sana kuna vitabia tabia sjui hua najionaje

Unakuta mtoto wa kiume kadogo anaingiza mkono kwenye suruali anajivuta vuta maumbile yake bas nakua nakabetua mkono wake hahaaha yan had hua mama angu ananambia Mungu ampe umri aje ashuhudie wanangu ntakavyowalea
 
Kuna kitoto kimoja cha kike age kam 3 au 4..uwa kinakuja chumban kwangu tena kwa kung'ang'ania kanaanza kuvua chup na kuanza kukata viuno,,,
Mim ni mpangj mpya apo kwao na nikikauliz a kakufundish kanambia dada ndo kanifundisha
Dah nikikafukuza lazim kanaondok uku kananaimba kwa kuelezea maneno nilokua nakaambia
Mkuu kua makini utaambiwa umebaka
Kakija piga makofi fukuza kama mbwa
 
Watoto wetu hawa ni shida,kikubwa tupunguze uzungu
Waswahili wana msemo wao mtoto umleavyo ndivyo akuavyo ni sahihi kabisa

Nakumbuka had nakua najifaham ile mtu kuniambia mjinga wewe niliona tusi kubwa sana achilia hayo mengine mekuja yajua ukubwani na sikuwah wasikia wazazi wangu wakiyatamka

Unakuta toto kubwa haliamkii watu halaf mama ake anaona sawa kabisa unakutana naye mnaangaliana macho kwa macho kuna mmoja niliwah kumtania kwa kukuamkia na akanijibu marahaba hujambo nikajua anajua kuamkia kafanya kusud tu
 
Watoto wetu hawa ni shida,kikubwa tupunguze uzungu
me kuna mmoja alinambia

Hujui mtu uchungu wake ulikuja vip shida gan alipitia had akajifungua huyo mtoto anemuona kama lulu, nikamwwmbia unapokua na mtoto waza kesho itakuaje ukiwa haupo kwenye uso wa dunia, mlee vile kila mtu ampende kuishi naye mlee aishi na yoyote yule usiwape watu kazi ya kuanza kulea upya akabaki anatabasam tu na ndio mwenye mtoto anepewa hela za mama ake akikosa anapekua mikoba anachukua hela
 
Back
Top Bottom