Tabia za Ajabu za Watoto

Tabia za Ajabu za Watoto

yaani nilimkata jicho yule mtoto aakawa ananiogopa sana kuna vitabia tabia sjui hua najionaje

Unakuta mtoto wa kiume kadogo anaingiza mkono kwenye suruali anajivuta vuta maumbile yake bas nakua nakabetua mkono wake hahaaha yan had hua mama angu ananambia Mungu ampe umri aje ashuhudie wanangu ntakavyowalea
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
yaani nilimkata jicho yule mtoto aakawa ananiogopa sana kuna vitabia tabia sjui hua najionaje

Unakuta mtoto wa kiume kadogo anaingiza mkono kwenye suruali anajivuta vuta maumbile yake bas nakua nakabetua mkono wake hahaaha yan had hua mama angu ananambia Mungu ampe umri aje ashuhudie wanangu ntakavyowalea
Kuna kengine kalikuja home na mama yake
Na mimi nikawa home likizo kipindi hiko nipo chuo
Sasa mi kwa kawaida sipendi mazoea na vitoto
Sikuiyo nipo sebuleni na pc kakaja nako kuangalia
Sijui ikaweje nimesahau. Kakaniambia "wewe hufanyagi kazi unakaa tu hapa kula" nilitamani nikapige sana ila kwa kuwa najua hasira zangu ningekaumiza ilibidi nikafukuze sebuleni
 
Kuna kengine kalikuja home na mama yake
Na mimi nikawa home likizo kipindi hiko nipo chuo
Sasa mi kwa kawaida sipendi mazoea na vitoto
Sikuiyo nipo sebuleni na pc kakaja nako kuangalia
Sijui ikaweje nimesahau. Kakaniambia "wewe hufanyagi kazi unakaa tu hapa kula" nilitamani nikapige sana ila kwa kuwa najua hasira zangu ningekaumiza ilibidi nikafukuze sebuleni
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119]Aisee Huyo alitumwaa khaaaa...
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Omba ombaa
Yani mkuu
Dogo anaweza kula mpaka akabakiza chakula ila after 5 min akiona mtu anakula naye anataka
Kuna siku nikawa nakapakulia jikoni .sufuria lipo chini natumia kijiko nikakaaekea nyama moja na mchuzi kwa kijiko sasa si kakaanza kuunguruma kanasema "weka bana nyama sasa ndio nini hiko afu hata mchuzi kidogo emu mimina sufuria:
 
Kuna kitoto kimoja cha kike age kam 3 au 4..uwa kinakuja chumban kwangu tena kwa kung'ang'ania kanaanza kuvua chup na kuanza kukata viuno,,,
Mim ni mpangj mpya apo kwao na nikikauliz a kakufundish kanambia dada ndo kanifundisha
Dah nikikafukuza lazim kanaondok uku kananaimba kwa kuelezea maneno nilokua nakaambia
Mkuu mkataze kabisa kuingia kwako katakuweka kwenye matatizo.
 
*Watoto Wa Siku Hizi Balaa Tupu,, Mheshiwa flani hivi
Alikuwa Na MKUTANO Akasema Waliojenga
Majumba Karibu Na Barabara Nyumba Zao
Zitawekwa X,, Watoto Wote Wakashangilia
Kwa Furaha,, MTOTO Mmoja Akasema
Mheshimiwa Ukiweka X Weka Za Kibongo!!!
WAZUNGU Tumewachoka Hawavai Shanga,,
Mheshimiwa Hoi!
Duh!!!
 
Yani mkuu
Dogo anaweza kula mpaka akabakiza chakula ila after 5 min akiona mtu anakula naye anataka
Kuna siku nikawa nakapakulia jikoni .sufuria lipo chini natumia kijiko nikakaaekea nyama moja na mchuzi kwa kijiko sasa si kakaanza kuunguruma kanasema "weka bana nyama sasa ndio nini hiko afu hata mchuzi kidogo emu mimina sufuria:
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Natamani wataalamu wa malezi wapite pande hii watoe miongozo , maana kuna tabia flan za watoto naziona ni potential ila kama vile watu wanazi condemn! All in all watoto wanatakiwa kuongozwa/kuelekezwa , issue ya kumuadhibu unaweza kumtoa kwenye reli kabisa!
 
Raha ya mtoto umsemee akusikie, mtoto awe kasikivu, ukikiambia acha kanaacha kweli,

Kuna mtoto alikua anapenda kuja sana home akikuta nimetandika vizur sitting room anatoa vitambaa anatupa chini, me naokota natandika tena anakuja ana toa kama mchezo mwisho nilimkata jicho mtoto wa watu aliteremka akaenda kwao akawa ananiogopa mpaka nakaonea huruma

Mtoto aliezoea kuomba omba sjui najisikiaje yan asione mtu kapita na kitu anamfata anaomba hii tabia binafsi inanikera sana
Hii ya kuomba kuomba naichukia saaaaaaana
 
Hahahaha waweza sema katumwa wallah
Kuna kengine kalikuja home na mama yake
Na mimi nikawa home likizo kipindi hiko nipo chuo
Sasa mi kwa kawaida sipendi mazoea na vitoto
Sikuiyo nipo sebuleni na pc kakaja nako kuangalia
Sijui ikaweje nimesahau. Kakaniambia "wewe hufanyagi kazi unakaa tu hapa kula" nilitamani nikapige sana ila kwa kuwa najua hasira zangu ningekaumiza ilibidi nikafukuze sebuleni
 
Na visauti vyao ....aomba mia eeh....
hahaha unamwambia tu usiww unaomba eh subiri mtu akupe mwenyewe usimuombe, ni tabia mbaya na walivyo atarudia tena na tena
 
Kuna kengine kalikuja home na mama yake
Na mimi nikawa home likizo kipindi hiko nipo chuo
Sasa mi kwa kawaida sipendi mazoea na vitoto
Sikuiyo nipo sebuleni na pc kakaja nako kuangalia
Sijui ikaweje nimesahau. Kakaniambia "wewe hufanyagi kazi unakaa tu hapa kula" nilitamani nikapige sana ila kwa kuwa najua hasira zangu ningekaumiza ilibidi nikafukuze sebuleni
 
Huyo ni mjinga analea vibaya kisa uchungu? We muache muda si mrefu utakuja kumkumbusha na hatokuwa na uwezo wa kumrekebisha tena mtoto
me kuna mmoja alinambia

Hujui mtu uchungu wake ulikuja vip shida gan alipitia had akajifungua huyo mtoto anemuona kama lulu, nikamwwmbia unapokua na mtoto waza kesho itakuaje ukiwa haupo kwenye uso wa dunia, mlee vile kila mtu ampende kuishi naye mlee aishi na yoyote yule usiwape watu kazi ya kuanza kulea upya akabaki anatabasam tu na ndio mwenye mtoto anepewa hela za mama ake akikosa anapekua mikoba anachukua hela
 
Wengine wanaomba helaa hao balaa.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji16]
 
Kuna mtoto mmoja miaka 5 alimwambia msichana wa kazi Mama ana mchumba,Mimi Nina mchumba(kuna kijana wa jirani alikuwa anamtaniq mchumbaaa mchumba)Dada wewe mbona huna au hutaki kupendwaa??
Mdada alibaki mdomo wazi(Na kumbe vile hajawai kumuona.mchumba wa Dada)
 
Mwingine mdada wa kazi alimuuzi nao wanakuwa wanachukia(eti wewe Mama Akija nitamwambia akufukuze muulize Rehema(msichana wa zamani)Mimi ndo nilimwambia afukuzwe.(Ukweli ni kwamba Mama yake hakumfukuza rehema kama kalivyosema kenyewe (Mdada aliogopaaa sana.Katoto kenyewe sasa kanakompa mikwara Dada kadogoo Mdada Bongeee.Yaani hawa watoto Sijui ni michezoo yao hii.
 
Back
Top Bottom