stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 519
Mimi binti yangu miaka mitatu, anamuuliza mama yake " mama hivi babu gari alitoa wapi" mama akamjibu alinunua, kakamuuliza tena ," sasa mbona baba hana?"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaaKuna mtoto aliwahi kuja kunikombea mboga nimewekewa mgeni akasepa na nyama zote akabakiza mchuzi, nilishangaa sana.
Ahahahahahaahaha mtoto kaitikia salam! Nacheka Kama mazuri dah! Watoto wa digitalWaswahili wana msemo wao mtoto umleavyo ndivyo akuavyo ni sahihi kabisa
Nakumbuka had nakua najifaham ile mtu kuniambia mjinga wewe niliona tusi kubwa sana achilia hayo mengine mekuja yajua ukubwani na sikuwah wasikia wazazi wangu wakiyatamka
Unakuta toto kubwa haliamkii watu halaf mama ake anaona sawa kabisa unakutana naye mnaangaliana macho kwa macho kuna mmoja niliwah kumtania kwa kukuamkia na akanijibu marahaba hujambo nikajua anajua kuamkia kafanya kusud tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]yaani nilimkata jicho yule mtoto aakawa ananiogopa sana kuna vitabia tabia sjui hua najionaje
Unakuta mtoto wa kiume kadogo anaingiza mkono kwenye suruali anajivuta vuta maumbile yake bas nakua nakabetua mkono wake hahaaha yan had hua mama angu ananambia Mungu ampe umri aje ashuhudie wanangu ntakavyowalea
Ahahahahahahaha huyo anaitwa mfiwa! Kila anaekuja msibani analia naeKuna dogo yeye kila akiona mtu anakula na yeye anataka
Hao wawili wa chini unaweza wakamata uwapeleke polisiHivi ndio vichwa vibovu, unaweza ukatafuta Mapadri na Masheikh waje kuwafanyia maombi hawa watoto, au lasivyo wanaweza kukutoa roho kama ni mzazi.View attachment 885275View attachment 885277View attachment 885278
Sio Dar tu hata Tanga. Unakuta mtoto hata kuongea vizuri hawezi ila anatukanaWanawake wa kiswahili hasa Dar kutukana mbele ya watoto kawaida tuu...!! yani wanaharbu Sana watoto
Hahahahahaaa. Kalikuweza. Utasema kametumwaKuna kengine kalikuja home na mama yake
Na mimi nikawa home likizo kipindi hiko nipo chuo
Sasa mi kwa kawaida sipendi mazoea na vitoto
Sikuiyo nipo sebuleni na pc kakaja nako kuangalia
Sijui ikaweje nimesahau. Kakaniambia "wewe hufanyagi kazi unakaa tu hapa kula" nilitamani nikapige sana ila kwa kuwa najua hasira zangu ningekaumiza ilibidi nikafukuze sebuleni
Hahahahaa. Alikua na umri gani?Yani mkuu
Dogo anaweza kula mpaka akabakiza chakula ila after 5 min akiona mtu anakula naye anataka
Kuna siku nikawa nakapakulia jikoni .sufuria lipo chini natumia kijiko nikakaaekea nyama moja na mchuzi kwa kijiko sasa si kakaanza kuunguruma kanasema "weka bana nyama sasa ndio nini hiko afu hata mchuzi kidogo emu mimina sufuria:
Jamani.Mimi binti yangu miaka mitatu, anamuuliza mama take " mama hivi babu gari alitoa wapi" mama akamjibu alinunua, kakamuuliza tena ," sasa mbona baba hana?"
Hahahahahaaa. Watu MNA maneno sanaAhahahahahahaha huyo anaitwa mfiwa! Kila anaekuja msibani analia nae
me mwenyewe nilijisikia vibaya mana memwakia ajue kosa lake badala yake akaniitikia, kuna wale akisahau kukuamkia ukimwamkia anajua alipaswa akuamkie anakuamkiaAhahahahahaahaha mtoto kaitikia salam! Nacheka Kama mazuri dah! Watoto wa digital
Kameniumbua aseeh.....ahahahahJamani.
Naona kalikutia hasira ya kuzisaka zaidi uwe Kama babuKameniumbua aseeh.....ahahahah
mwisho nije kuambiwa zaa wako uone uchungu ulivyo nan anataka?? Tunaacha tu tutakuja lea wa kwetu inshallahHuyo ni mjinga analea vibaya kisa uchungu? We muache muda si mrefu utakuja kumkumbusha na hatokuwa na uwezo wa kumrekebisha tena mtoto
Hapa Nina machungu mkuu, we acha tuNaona kalikutia hasira ya kuzisaka zaidi uwe Kama babu
Huyu nae je? Si unaweza ukamfunga kwa kosa la "attempt murder"???? Maana ukikutana nae saa nane usiku anaweza akakutoa roho, kwa mshtuko wa moyoHao wawili wa chini unaweza wakamata uwapeleke polisi
Don Clericuzio nimesoma huu Uzi nikamkumbuka yule dogo jirani yenu