Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
HahahahahaaaHuyu nae je? Si unaweza ukamfunga kwa kosa la "attempt murder"???? Maana ukikutana nae saa nane usiku anaweza akakutoa roho, kwa mshtuko wa moyoView attachment 886238
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaaaHuyu nae je? Si unaweza ukamfunga kwa kosa la "attempt murder"???? Maana ukikutana nae saa nane usiku anaweza akakutoa roho, kwa mshtuko wa moyoView attachment 886238
Eeeh yule.Yule anauliza mbona una kichwa kikubwa?
Kuna watoto Watundu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Huyu nae je? Si unaweza ukamfunga kwa kosa la "attempt murder"???? Maana ukikutana nae saa nane usiku anaweza akakutoa roho, kwa mshtuko wa moyoView attachment 886238
Eeeh yule.
We acha mkuu, mi nina mdogo wango ana miaka 5, atakuja kuniua, juzi juzi kanitegea sindano kama 6 kitandani kwangu, mpaka leo nazisikia majeraha yake mgongoni.Kuna watoto Watundu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mzee hapa Nina mori kama wote yaani.......lazima hili nilifanyie kazi kwa kweliJamani baba itabdi apige kazi aisee...[emoji16][emoji16][emoji24]
Na yule mgeni alkuwa anapakia kwelikweli![emoji24][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aisee mgeni itakuwa aliona soo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aisee huyo balaa...Jamaa hakumindKuna mdogo wake rafiki yangu mmoja aliona ile video ya kondoo wakiwa wanatembea na wanaonekana wanatikisa makalio (ilisambaa sana whatsapp) akasema "mbona wanatembea kama mashoga". Aisee, nilishangaa sana.
Dogo huyo huyo alishamwambia mshkaji fulani aliyekuwa anacheka " mbona unachekacheka kama mwanamke?" Dogo mwenyewe sijui anamiaka minne sijui..
Tuna mtihani sana.
Jamaa alibaki anacheka tu aisee, ila nadhani asingekuwa na dada ake..dogo angekula mbata za kutosha sana.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aisee huyo balaa...Jamaa hakumind
[emoji23] nilikaa nikafikilia yale maneno nikahisi hivi huenda kametumwaHahahaha waweza sema katumwa wallah
[emoji23] ha ha haAhahahahahahaha huyo anaitwa mfiwa! Kila anaekuja msibani analia nae
Hapa kitaani dogo mmoja anatabia ya kuchungulia watu chooni. Actually bora hiyo ya kuchungulia, tabia nisiyoipenda zaidi ni ile ya kupiga ngoma dirishani kwangu..! Yaani anasubiria siku za weekend nimekesha kudownload muvi usiku mzima mipango yangu ni kulala mpaka saa tano asubuhi then yeye anakuja kupiga ngoma dirishani kwangu..! Aisee ipo siku nitapiga kwenzi moja huyu dogo mpaka tumbo la uzazi cha mama yake litetemeke..!