Tabia za mabinti wa kinyiramba wa kizazi hiki cha 2000

Wanagawa sana sukari
 
dah, aisee, wanyiramba gani unawaongelea hao weupe? usichanganye na Wanyaturu ndugu. ulishawahi ishi singida?
Ina maana hata Dr. Mwigulu humuoni? Wanyiramba nawajua vyema. Nikiweka kwa asilimia kwa maoni yangu weusi 15%, maji ya kunde 50% weupe 35%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…