Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Siyo, hiyo picha ni ya kaka yangu, nimeshangaa kweli kuiona humu.
Nimempigia akasema siye aliyeiweka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👣👏👏👏👏👏 umemaliza♧ Huwa si wachoyo wa elimu ya mafanikio kwa watu wanaowazuguka..
♧ Siyo watu wa show off.
♧ Low profile type.
♧ Hawapendi kuwa karibu na watu ambao hawako straight kwenye maswala yao.
♧ Wanapenda muonekano na kutoka na body structure yao huwa wanapendeza wakitupiamo viwalo
♧ Huwa ni wakimya kiasi hupelekea watu wengine kuwaona kama ni watu flan wanaojisikia sana..
♧ Siyo watu wenye marafiki wengi ila mkishakuwa marafiki bas huo urafiki hudumu kwa muda mrefu sana..
Sent using Samsung S6 Edge
Hahaha nimecheka Sana aisee...hakuna mtu mwembamba ati???Acha kukopi maandiko ya wazungu na kutuletea Afrika, Mimi nilikuwa mwembamba wakati nasoma nilipomaliza shule ya elimu ya juu nikaanza kupata pesa nikajikuta nanenepa na hadi Leo ule wembamba wa miaka ya enzi za Mwinyi na Mkapa sina tena, hata mapenzi hayanisumbui najua kupenda hadi michepuko hainiachi
Sina historia ya kuwa na mwanaume mwembamba
Hapo kwenye kuto.... unajua mwendelezo wake au kiherehere tu
Hayo mengine siyajui
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia wako na dick ndefu
Mwanaume unakosaje sasa kamwili ka kumkumbatia bebe[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Napitwa na kitu gani labda.
Kama tak*** lako la kwenye avatar yakosio tako tu ni tako gumu ndo kila kitu kwa mwanaume. alafu si tako ni katako kadogo maana mwanaume hana tako kubwa ni dogo tu la kukaa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
♧ Huwa si wachoyo wa elimu ya mafanikio kwa watu wanaowazuguka..
♧ Siyo watu wa show off.
♧ Low profile type.
♧ Hawapendi kuwa karibu na watu ambao hawako straight kwenye maswala yao.
♧ Wanapenda muonekano na kutoka na body structure yao huwa wanapendeza wakitupiamo viwalo
♧ Huwa ni wakimya kiasi hupelekea watu wengine kuwaona kama ni watu flan wanaojisikia sana..
♧ Siyo watu wenye marafiki wengi ila mkishakuwa marafiki bas huo urafiki hudumu kwa muda mrefu sana..
Sent using Samsung S6 Edge
Nitakujibu nikitoka karantini
Wapo kupe kupe sanashida ni tabia zao ila kitandani watamu kama dagaa au nyama ya mfupa
Sent using Jamii Forums mobile app