Umba Tuku
JF-Expert Member
- Feb 4, 2017
- 2,101
- 1,271
S
Aisee kwahiyo dem analiwa na jamaa analiwa asee 🙁
True story; mwaka 2011 binti mmoja aliolewa na jamaa mmoja 'handsome sana' kijana mtulivu asiye na mambo ya michepuko kabisa
Huyu jamaa alikuwa na jamaa yake mmoja walikuwa hawaachani they were more than best friends, kwahiyo hata ilipotokea kutokuelewana ndani ya nyumba jamaa ndio aliitwa kama msuluhishi
Siku moja mwaka 2013 binti akawa anaenda kwenye kikao mahali nyumba akimwachia mumewe na shemeji naye alikuwepo
Akiwa keshapanda bus akapigiwa simu kwamba kikao kimeahirishwa hivyo hakuwa na namna zaidi ya kushuka na kutafuta usafiri wa kurudi nyumbani, kufika hm akaingia moja kwa moja sebuleni mlango ulikuwa umeegeshwa tu lakini hakuona mtu hivyo akaongoza chumbani...
Ni huko chumbani alimkuta mumewe wa ndoa anapumuliwa kisogoni na yule best friend wake...binti alizindukia hospitali na kwa miaka miwili mfululizo hakuwa sawa kabisa
Ndoa ile ilivunjika lakini huyo jamaa kaoa tena na mkewe wa sasa inasemekana anaijua fika tabia ya mumewe lakini kaikubali
Huyo jamaa ni mc maarufu sana na FB hakauki
Aisee kwahiyo dem analiwa na jamaa analiwa asee 🙁