Tabiri nani atashinda katika nafasi hizi baada ya ya Kombe la Dunia kuisha hii leo?

Tabiri nani atashinda katika nafasi hizi baada ya ya Kombe la Dunia kuisha hii leo?

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Mwana Jamii Sport ikiwa tunaelekea Mwishoni kabisa Mwa Mashindano Makubwaaa Duniani ambayo yamefanyika pale Qatar kwa Ma-Sheikh upi utaburi wako katika Nafasi hizi?

1. Mfungaji Bora
Hadi saa hizi
Messi=5goals
Mbappe=5goals
Giroud=4goals
Alvarez=4goals
2. Goli kipa Bora
Martinez=3 Clean Sheets,Conceded 4 goals
Yassiene Bounou=4 Clean Sheets,Conceded 5 goals
Hugo Lloris=1 Clean sheets, Conceded 4 goals
3. Kinda Bora Wa Mashindano
Enzo Fernandez=🇦🇷
Jude Bellingham=🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
Josko Gvardiol=🇭🇷
4. Top Assistman
Messi=3Assists
Griezman=3Assists
Mbappe:2Assists
5. Mchezji Bora wa Mashindano
Messi🇦🇷
Mbappe🇫🇷
Griezman🇫🇷

#Because I Love This Game
 
JamiiForums781607235.jpg
 
Back
Top Bottom