Tabiri Top 4 yako VPL


Out of topic
 
Out of topic
Maana yangu, Yanga kuchukua ubingwa au ngao ya jamii sio ishu, Mimi nimeishuhudia Yanga ikichukua Mataji mengi ya apa ndani. Mimi binafsi kusikia Yanga bingwa kwa kikombe chochote Cha apa ndani si shtuki Tena. Ningependelea Yanga indelee kujengwa kitaalamu kwa ajili ya kupambana Afrika. Aya mambo ya ubingwa wa Tanzania kwa Yanga ni kwaajili ya heshmaya mashabiki wetu.lakini Lengo liwe mashindano ya Caf Uko ndio kwenye changamoto halisi.
 
Washabiki wengi wa Simba wanajitahidi sana kujiaminisha kuwa Azam ipo juu ya Yanga, wakati si kweli. Ukiangalia mechi yao na Prisons jana na mechi yao na Namungo, utagundua Azam ni ileile ya msimu uliopita.

Yanga ime -improve. Sarpong ni mwepesi na ana qualities za ukubwa wa Molinga na Yikpe ila amewazidi speed sana ingawa sidhani kama amefikia ya Makambo. Ila kama midfield ya Yanga ikipata chemistry nadhani kutakua na shughuli pevu zaidi ya mwaka jana.

Namungo, hapana. Haitakuwa top 4
 
Kama ubingwa siyo ishu kwanini mnashiriki ligi ?utaendaje kimataifa wakati siyo bingwa au huna kombe ?ndo maana kocha aliyeondoka aliwaita ile jina
 
Naunga mkono
 
Kwa hiyo?!?!
 
Sio kila unachokiamini na wengine wakiamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…