Tabiri Top 4 yako VPL

Tabiri Top 4 yako VPL

Simba point 90
Yanga point 90
Azam
Mtibwa
Polisi
Namungo
 
FORTALEZA, HIVI NDIVYO ITAVYOKUWA.

1. SimbA SC.
2. NamungO.
3. AzaM FC.
4. Dar Young Africans.
REASONS:
1. SimbA SC, hawajavuruga kikosi chao cha kwanza, kisha wakaongeza wachache wenye uwezo.
2. NamungO pia, Utumiaji mzuri wa uwanja wa nyumbani, pia nitimu inayocheza kwa maelekezo kutoka juu.
3. AzaM FC, wako kimkakati zaidi, naamini wataanza walivyomaliza.
4. Yanga wanahitaji muda zaidi, Maana bado hawachezi kitimu, pia usajili wao ulikuwa wa maruhani, upande ushambuliaji hasa kushoto wako vizuri pia beki wako vizuri sana.
Ila Kiungo hamna kitu, Mukoko ni tozi tu asiyejua mpira.
Ahsante.
 
FORTALEZA, HIVI NDIVYO ITAVYOKUWA.

1. SimbA SC.
2. NamungO.
3. AzaM FC.
4. Dar Young Africans.
REASONS:
1. SimbA SC, hawajavuruga kikosi chao cha kwanza, kisha wakaongeza wachache wenye uwezo.
2. NamungO pia, Utumiaji mzuri wa uwanja wa nyumbani, pia nitimu inayocheza kwa maelekezo kutoka juu.
3. AzaM FC, wako kimkakati zaidi, naamini wataanza walivyomaliza.
4. Yanga wanahitaji muda zaidi, Maana bado hawachezi kitimu, pia usajili wao ulikuwa wa maruhani, upande ushambuliaji hasa kushoto wako vizuri pia beki wako vizuri sana.
Ila Kiungo hamna kitu, Mukoko ni tozi tu asiyejua mpira.
Ahsante.
Sawa kocha usiye na leseni
 
Maana Yangu, Yanga kuchukua ubingwa au ngao ya jamii sio ishu, Mimi nimeishuhudia Yanga ikichukua Mataji mengi ya apa ndani. Mimi binafsi kusikia Yanga bingwa kwa kikombe chochote Cha apa ndani si shtuki Tena. Ninge pendelea Yanga indelee kujengwa kitaalamu kwa ajili ya kupambana Afrika. Aya mambo ya ubingwa wa Tanzania kwa Yanga ni kwaajili ya heshmaya mashabiki wetu.lakini Lengo liwe mashindano ya Caf Uko ndio kwenye changamoto halisi.
Still Out of Topic
 
Yanga kwasasa changamoto zake si vikombe vya Tanzania, Hakuna kikombe chochote apa nchini kinacho simamiwa na Tff ambacho Yanga haongozi kwa kukichukua. Changamoto za Yanga ni kimataifa apa ndani Simba ndio wanatakiwa kupambana kufikia mafanikio ya Yanga.
Changamoto ya Yanga ni kimataifa kumbe... sawa mtaendelea kuchezea 4g hapa ndani na huko kimataifa mtaishia tu kuwaona kwenye tv kina Namungo ndio wanaiwakilisha nchi...
 
Utawezaje kwenda peponi kabla ya kufa? Na utawezaje kushiriki mashindano ya kimataifa Kama hujachukua ubingwa? Historia ya nyuma inakupa nafasi gani kushiriki mashindano ya Sasa?
Yanga kwasasa changamoto zake si vikombe vya Tanzania, Hakuna kikombe chochote apa nchini kinacho simamiwa na Tff ambacho Yanga haongozi kwa kukichukua. Changamoto za Yanga ni kimataifa apa ndani Simba ndio wanatakiwa kupambana kufikia mafanikio ya Yanga.
 
Back
Top Bottom