mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
1.Simba
2Namungo
3.Azam
4.Kmc
2Namungo
3.Azam
4.Kmc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mchungu lakini timu yangu Yanga itamaliza nafasi ya 4.
1.Simba Sc
2.Azam Fc
3.Namungo Fc
4.Yanga Sc
Utopolo mmepigwaTop four Msimu huu itakuwa
1. Dar es Salaam Young Africa
2. Simba SC
3. Azam FC
4. Namungo FC
Huko kwa kimataifa utafikaje mkuu kama ubingwa wa ligi huchukui wala Azam federation huchukui? Au mnasubiri Simba afike mbali mpate nafasi ya mbeleko?Yanga kwasasa changamoto zake si vikombe vya Tanzania, Hakuna kikombe chochote apa nchini kinacho simamiwa na Tff ambacho Yanga haongozi kwa kukichukua. Changamoto za Yanga ni kimataifa apa ndani Simba ndio wanatakiwa kupambana kufikia mafanikio ya Yanga.
Kwa mziki wa Yanga wa jana hakuna mpinzani.
Mkuu we ni simba ila ukweli ni kuwa hamna defensive midfilder mwenye quality mkude mnampa wakati mgumu sana dirisha dogo tafuteni kiungo mtatu aibisha kimataifa wataniKweli
Unaugua weweMaana Yangu, Yanga kuchukua ubingwa au ngao ya jamii sio ishu, Mimi nimeishuhudia Yanga ikichukua Mataji mengi ya apa ndani. Mimi binafsi kusikia Yanga bingwa kwa kikombe chochote Cha apa ndani si shtuki Tena. Ninge pendelea Yanga indelee kujengwa kitaalamu kwa ajili ya kupambana Afrika. Aya mambo ya ubingwa wa Tanzania kwa Yanga ni kwaajili ya heshmaya mashabiki wetu.lakini Lengo liwe mashindano ya Caf Uko ndio kwenye changamoto halisi.
Changamoto ya upumuaji tena.Unaugua wewe
Kwa mziki wa Yanga wa jana hakuna mpinzani.
Mkuu mimi ni Yanga damu lakini bado hatuna timu ya kuchukua ubingwa, kwenye ukweli tuseme tu.
GSM imewasajilia Yanga matatizo kwani ujue mishahara ndio litakuwa tatizo kubwa kwa Yanga.Hela za mishahara watakosa na wachezaji hawataonyesha kiwango
1.Simba
2.Azam
3.Namungo
4.Police Tanzania
Yanga bado inaendeshwa kiswahili sana kama ianze kuimarika kama taasisi itachukua kama miaka 3 na approach ya GSM ya kuwanunulia wachezaji na kuwanunulia wasemaji au wahasishaji wa Timu unaendelea kuibomoa Yanga.
Angalia suala dogo tu kama msemaji wa Timu pale Yanga ni vurugu.Kuna Bumbuli, Baba Levo, Antonio Nugaz na wote hawajui kazi yao. Mwakalebela au Msola ukimuuliza mishahara GSM walikubaliana shs ngapi kwa mwezi hata hawajui na huyo Senzo hana kazi hapo
5.Yanga
Wenzako tunapojadili ki2 huwa tuna fikiri mbali zaid. Njoo ufute ujina wako hpaTop 4 inasimama kwa ajili ya nini kwenye ligi yetu?
I mean, nini umuhimu wa kuwa namba 3 na 4 kiasi cha kuzijadili hizo nafasi?