Tabiri Top 4 yako VPL

Top four Msimu huu itakuwa
1. Dar es Salaam Young Africa
2. Simba SC
3. Azam FC
4. Namungo FC
 
Huko kwa kimataifa utafikaje mkuu kama ubingwa wa ligi huchukui wala Azam federation huchukui? Au mnasubiri Simba afike mbali mpate nafasi ya mbeleko?
 
Unaugua wewe
 
1.Yanga
2.simba
3.azam
4.namungo
5.biashara
6.kmc


[emoji106]
 

Paragraph ya kwanza umemaliza kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…