kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Napita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akinikuta hospital Niko zamu naenda kunywa chai kwanza. Sababu miccm inatudharau Sana sisi madaktariNitakuwa mnafiki nikitoa pole Kwa msiba huu hata Mimi naona sio mbaya lkn Acha aende
Inasikitisha sana kuona wingu la chuki na visasi likitanda, mvua yake itakuwa ni damu zisizo na hatia. Mungu epushia mbali.
Kwa kuwa ni diwani wa CCM, msako mkali kutafuta wahusika na 6 wako mbaroni tayari!
Angekuwa wa upinzani sio rc wala police wote kimyaaa kana kwamba haiwahusu.
Tabora wameanza vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani huyo marehemu ametoa ushirikiano gani hadi wakakamatwa hao watuhumiwa 6,,??Lisu angesaidiwaje ilihali hakutaka kutoa ushirikiano kwa polisi? Au unadhani polisi wanapiga ramri. Wamarekani na wakanada watamsaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mnajua Mungu kuepusha mbali? Kwa kungwi kukiliwa na kwa mwali pia kutaliwa!Mungu aepushie mbali kwa kweli!
Huyo marehemu ameisaidia nini Polisi?Lisu angesaidiwaje ilihali hakutaka kutoa ushirikiano kwa polisi? Au unadhani polisi wanapiga ramri. Wamarekani na wakanada watamsaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiuwawa wa CHADEMA mnasemaga mke wa mtu naamini hata huyu wa CCM ni ugoni.Pole yao ndugu na familia ya diwani... Japo watu washaanza kuingizia siasa.
Huyo diwani angekuwa ni wa ufipa leo tusingelala humu.
Endelea kuropoka ropoka tu. Nakuangalia lakini, shauri yako.
Wanasemaga mimi na kina nani hao?Akiuwawa wa chadema mnasemaga mke wa mtu naamini hata huyu wa ccm Ni ugoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe JokaKuu karibu utakuwa MjusiMdogo. Endelea tu kujifanya huelewi...Ndio ukweli wenyewe.
..hebu fikiria mauaji ya Alphonce Mawazo huu ni mwaka wa ngapi na haki haijatendeka.
..hivi Mawazo angekuwa mwana-ccm na mwenyekiti wa mkoa wa ccm, Polisi wangefanya hivi wanavyofanya? Sidhani hata kidogo.
..Tundu Lissu angekuwa mwana-ccm Polisi wangeonyesha kutokujali? Wanaochekelea unyama ule wasingefuatiliwa? Wanaomtishia wangekuwa huru?
..Nchi hii ni yetu sote.
Leo ndio mnasema Mungu epushia mbaliInasikitisha sana kuona wingu la chuki na visasi likitanda, mvua yake itakuwa ni damu zisizo na hatia. Mungu epushia mbali.
Wewe JokaKuu karibu utakuwa MjusiMdogo. Endelea tu kujifanya huelewi.