MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Mtu anataka utajiri hapo hapo anapigwa saa ya milion moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida inaanzia kwenye kula ugali, huu msosi huwa nna mashaka nao sanaIQ ndogo sana wabongo sijui shida nini?
Angeenda Katanga kama alikuwa anataka utajiri.Mzee Mussa Rashid, mkazi wa Tabora, ametapeliwa na kuporwa saa yenye thamani ya shilingi milioni moja baada ya kudanganywa na mganga wa kienyeji mjini Sumbawanga kuwa atapata utajiri wa haraka.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo, ambapo inadaiwa kuwa mzee huyo aliwasili Sumbawanga majira ya saa 4:00 usiku na kukutana na mwenyeji wake, ambaye alimtaka aoge dawa maalum kabla ya tiba kuendelea.
Baada ya muda mfupi, alipelekwa makaburini ambapo alilazwa juu ya kaburi na kuanza kuogeshwa dawa. Ghafla, alitambua kuwa haoni nguo zake, saa yake ya thamani, pamoja na fedha kiasi cha shilingi laki mbili na alitelekezwa hapo akiwa utupu hadi wasamaria wema walipomuokota na kumstiri kwa kipande cha kanga.
Akithibitisha tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Nyakia Ally Chirukile, amewataka Watanzania kuachana na imani potofu za kutafuta utajiri kwa njia za kishirikina. Huku akihimiza wananchi kufanya kazi kwa bidii na kumtanguliza Mwenyezi Mungu badala ya kutegemea waganga wa kienyeji wasiokuwa na uaminifu.
#EastAfricaRadioView attachment 3270549
😂😂😂😂 👆Baada ya muda mfupi, alipelekwa makaburini ambapo alilazwa juu ya kaburi na kuanza kuogeshwa dawa. Ghafla, alitambua kuwa haoni nguo zake, saa yake ya thamani, pamoja na fedha kiasi cha shilingi laki mbili na alitelekezwa hapo akiwa utupu hadi wasamaria wema walipomuokota na kumstiri. View attachment 3270549
Kwani wakuu wa wilaya wana kazi gani Mkuu,wale ndio kazi zao hizo,kudandia mambo tofauti wilayaniYaani mkuu wa wilaya anathibitisha tukio hili. Kweli Mkuu wa wilaya hana shughuli za maana na hadhi yake za kumuhusisha nazo? Kuna siku kijana atakufa kwa kupiga punyeto, na mkuu wa wilaya atathibitisha tukio hilo na kututaka wananchi tujiepushe na upigaji wa punyeto.
Hao wananchi wajinga kabisa wee umemkuta makuburini sii ndio fursa hiyo ya kumla yas🤣🤣🤣🤣Mzee Mussa Rashid, mkazi wa Tabora, ametapeliwa na kuporwa saa yenye thamani ya shilingi milioni moja baada ya kudanganywa na mganga wa kienyeji mjini Sumbawanga kuwa atapata utajiri wa haraka.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo, ambapo inadaiwa kuwa mzee huyo aliwasili Sumbawanga majira ya saa 4:00 usiku na kukutana na mwenyeji wake, ambaye alimtaka aoge dawa maalum kabla ya tiba kuendelea.
Baada ya muda mfupi, alipelekwa makaburini ambapo alilazwa juu ya kaburi na kuanza kuogeshwa dawa. Ghafla, alitambua kuwa haoni nguo zake, saa yake ya thamani, pamoja na fedha kiasi cha shilingi laki mbili na alitelekezwa hapo akiwa utupu hadi wasamaria wema walipomuokota na kumstiri kwa kipande cha kanga.
Akithibitisha tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Nyakia Ally Chirukile, amewataka Watanzania kuachana na imani potofu za kutafuta utajiri kwa njia za kishirikina. Huku akihimiza wananchi kufanya kazi kwa bidii na kumtanguliza Mwenyezi Mungu badala ya kutegemea waganga wa kienyeji wasiokuwa na uaminifu.
#EastAfricaRadioView attachment 3270549
Hiyo dawa inaanza kufanyakazi baada ya saa 17, amefanya haraka ona sasa ameizimua haifai tena.Mzee Mussa Rashid, mkazi wa Tabora, ametapeliwa na kuporwa saa yenye thamani ya shilingi milioni moja baada ya kudanganywa na mganga wa kienyeji mjini Sumbawanga kuwa atapata utajiri wa haraka.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo, ambapo inadaiwa kuwa mzee huyo aliwasili Sumbawanga majira ya saa 4:00 usiku na kukutana na mwenyeji wake, ambaye alimtaka aoge dawa maalum kabla ya tiba kuendelea.
Baada ya muda mfupi, alipelekwa makaburini ambapo alilazwa juu ya kaburi na kuanza kuogeshwa dawa. Ghafla, alitambua kuwa haoni nguo zake, saa yake ya thamani, pamoja na fedha kiasi cha shilingi laki mbili na alitelekezwa hapo akiwa utupu hadi wasamaria wema walipomuokota na kumstiri kwa kipande cha kanga.
Akithibitisha tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Nyakia Ally Chirukile, amewataka Watanzania kuachana na imani potofu za kutafuta utajiri kwa njia za kishirikina. Huku akihimiza wananchi kufanya kazi kwa bidii na kumtanguliza Mwenyezi Mungu badala ya kutegemea waganga wa kienyeji wasiokuwa na uaminifu.
#EastAfricaRadioView attachment 3270549
Haha 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaaUku waganga matapelii,kule manabii matapelii,Bado na CCM matapelii yaani kiufupi hakuna pakutokeaa watz🤔
Ndo utaelewa aina ya wateuliwa.Yaani mkuu wa wilaya anathibitisha tukio hili. Kweli Mkuu wa wilaya hana shughuli za maana na hadhi yake za kumuhusisha nazo? Kuna siku kijana atakufa kwa kupiga punyeto, na mkuu wa wilaya atathibitisha tukio hilo na kututaka wananchi tujiepushe na upigaji wa punyeto.