Tabora: Atapeliwa saa ya Milioni 1 na mganga wa kienyeji

Tabora: Atapeliwa saa ya Milioni 1 na mganga wa kienyeji

Yaani mkuu wa wilaya anathibitisha tukio hili. Kweli Mkuu wa wilaya hana shughuli za maana na hadhi yake za kumuhusisha nazo? Kuna siku kijana atakufa kwa kupiga punyeto, na mkuu wa wilaya atathibitisha tukio hilo na kututaka wananchi tujiepushe na upigaji wa punyeto.
Kuna viongozi wa dini wameongoza ibada ya majini yamsaidie kiongozi mmoja wa kisiasa ashindwe uchaguzi
 
Una uwezo na akili ya kutafuta hela mpaka kufikia kumiliki saa ya million pocket money yako 200K still unaenda kwa mtu ambaye yeye mwenyewe amefeli kuwa tajiri then unaamini atakupa utajiri zaidi ya ulio nao?

Akili za wapi hizi!!!
 
Tusikitike kwanza πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Hao wananchi wajinga kabisa wee umemkuta makuburini sii ndio fursa hiyo ya kumla yas🀣🀣🀣🀣
Baada ya muda mfupi, alipelekwa makaburini ambapo alilazwa juu ya kaburi na kuanza kuogeshwa dawa....!
 
Akiwa Mzazi wako sijui mnajificha wapi na hiyo aibu
Zingatia haya maneno......BaadaπŸ‘‰πŸΏπŸ‘‰πŸΏπŸ‘‰πŸΏ ya muda mfupi, alipelekwa makaburini ambapo alilazwa juu ya kaburi na kuanza kuogeshwa dawa.
 
Chanzo cha kushamiri kwa vitendo vya utapeli nchini ni ccm!! Anayebisha aje hapa.
Baada ya muda mfupi, alipelekwa makaburini ambapo alilazwa juu ya kaburi na kuanza kuogeshwa dawa.πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜‚
 
Angeambiwa fukua kaburi tukufukie upate utajiri ingekuwa bora zaidi
Sura kama Mugabe
Maskini mzee wa watu walimlaza kifudifudi uchi la sivyo angewaona wakiondoka! BaadaπŸ‘‰πŸΏ ya muda mfupi, alipelekwa makaburini ambapo alilazwa juu ya kaburi na kuanza kuogeshwa dawa.
 
Maskini mzee wa watu walimlaza kifudifudi uchi la sivyo angewaona wakiondoka! BaadaπŸ‘‰πŸΏ ya muda mfupi, alipelekwa makaburini ambapo alilazwa juu ya kaburi na kuanza kuogeshwa dawa.
Yaani kuna watu wanaamini utajiri wa hivyo unaupata kwa kulala makaburini
Ujana wake alikuwa wapi?
Anahangaika sasa na kutafuta utajiri kwa waganga
Huwa siwahurumii wajinga wa hivyo

Kwenye shamba la familia kulikuwa na miti mingi ila kulikuwa na mti mmoja mkubwa sana
Kwa haraka haraka ukiuangalia utaona ni mti wenye umri wa zaidi ya miaka mia 2 au zaidi
Sasa hapo huwa kila wakati tukiwa tunazunguka kuchuma matunda unakuta nyembe na vikaratasi vidogo vidogo na maji yaliyokauka

Ila panaonekana kama aliogeshwa mtu
Ila bado unaona umasikini tu kwa watu

Wapeni elimu sana kuwa hela za hivyo hazipo
 
Hao itakuwa ni wale vijana wa tuma hela kwanamba hii

Maana Sumbawanga wapo wengi saaana πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Back
Top Bottom