Tabora: Atapeliwa saa ya Milioni 1 na mganga wa kienyeji

Tabora: Atapeliwa saa ya Milioni 1 na mganga wa kienyeji

🤣🤣🤣..Bro, unataka kusisitiza nini hapo ? ..
🏃‍➡️🏃‍➡️🏃‍➡️
Waganga wa kienyeji jau sana wanaweza kukufanyia vitu vya aibu na hutabisha kwakuwa unataka kufanikisha jambo lako.. Sasa hapo ni wazi walimlaza uchi kifudifudi na kumuogesha dawa..🥱 unadhani YAS ilisalimika hapo? Unaambiwa inabidi dawa iingie mpaka huku.. Kum be unapigwa cha kati😂
 
Waganga wa kienyeji jau sana wanaweza kukufanyia vitu vya aibu na hutabisha kwakuwa unataka kufanikisha jambo lako.. Sasa hapo ni wazi walimlaza uchi kifudifudi na kumuogesha dawa..🥱 unadhani YAS ilisalimika hapo? Unaambiwa inabidi dawa iingie mpaka huku.. Kum be unapigwa cha kati😂
Sema mganga anashinda kesi hyo mapema tu 😄
Nmekumbuka manyaunyau alivyompiga yule mama mamilion mama akashtaki kesi ikaishiaa hewani 😄
Naona jamaa bado yupo anaendeleza

Ova
 
Hakuna kesi hapo....

Swali hakimu -----uliamini

Aliyeshtaki-----ndiyo

Mganga anakazia----hakimu huyu mlimpa masharti ayatimize hakuyakamilisha 😄

Ova
Hahahaha😀😀😀
 
Back
Top Bottom