Tabora: Atapeliwa saa ya Milioni 1 na mganga wa kienyeji

Angeenda Katanga kama alikuwa anataka utajiri.
Kule wanatoa kila siku
 
😂😂😂😂 👆
 
Kwani wakuu wa wilaya wana kazi gani Mkuu,wale ndio kazi zao hizo,kudandia mambo tofauti wilayani
 
Hao wananchi wajinga kabisa wee umemkuta makuburini sii ndio fursa hiyo ya kumla yas🤣🤣🤣🤣
 
Hiyo dawa inaanza kufanyakazi baada ya saa 17, amefanya haraka ona sasa ameizimua haifai tena.
 
Ndo utaelewa aina ya wateuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…