Waganga wa kienyeji jau sana wanaweza kukufanyia vitu vya aibu na hutabisha kwakuwa unataka kufanikisha jambo lako.. Sasa hapo ni wazi walimlaza uchi kifudifudi na kumuogesha dawa..π₯± unadhani YAS ilisalimika hapo? Unaambiwa inabidi dawa iingie mpaka huku.. Kum be unapigwa cha katiππ€£π€£π€£..Bro, unataka kusisitiza nini hapo ? ..
πββ‘οΈπββ‘οΈπββ‘οΈ
IPO BEI ZAIDI YA HIYOHuyo Mzee Nina wasiwasi hata hio SAA anayodai ni ya Milioni alipigwa bei,inawezekana aliuziwa ya 50,000 akaambiwa milioni nayeye akaamini
Sema mganga anashinda kesi hyo mapema tu πWaganga wa kienyeji jau sana wanaweza kukufanyia vitu vya aibu na hutabisha kwakuwa unataka kufanikisha jambo lako.. Sasa hapo ni wazi walimlaza uchi kifudifudi na kumuogesha dawa..π₯± unadhani YAS ilisalimika hapo? Unaambiwa inabidi dawa iingie mpaka huku.. Kum be unapigwa cha katiπ
Najua ipo na zaidi ila kwa jinsi alivyotapeliwa naamini hata saa alitapeliwa tu,atutajie brandIPO BEI ZAIDI YA HIYO
OVA
Hakuna kesi hapo....Gharama za kupelekwa shule haiwezi kuwa rahisi! π
Kama Mwamposa anakuombea upate gari ya bure wakati yeye mnamchangia kuinunua. Nyambafu.Waganga wenyewe wanatafuta utajiri kwa kwenda kwa wagangaπ