TABORA: Mtu mmoja afariki baada ya kupokonywa hirizi zake

Uchunguzi ufanyike nina mashaka polisi mamempoga hadi kumuua
 
Mimi atavyoongea bro. Mshana ndio hivyohivyo!
 
Ukute walipishana kauli tu na hata kuchaniwa hajachaniwa,mara paap mbaroni, kichapo na kudedishwa🙆
 
Police huwa wanajifichaga ktk shamba la karanga kila wakigundua washafanya makosa, uelewa huwa finyu mno. Serikali haiamini ktk ushirikina hirizi wala uchawi, ndugu zake wakifungua kesi mahakamani mnaweza kuuthihirishia uma kuwa marehemu alikufa kwa kuondolewa hirizi ilihali uchawi hautambuliki ktk mhimili huo wa mahakama?
 
Kachomoa betri, hakujua kwamba ndo bima yake.
 
Hakuna cha hirizi wala mavi ya kuku kapigwa na Polisi huyo wanamtafutia sababu.
kwa mfumo wa utendaji kazi wa jeshi hilo, hakuna mchana sare za polisi anaeweza toka salama kituoni mwao. Na hakuna daktri atakaye fanya postmortem ya ukweli. Hiyo kapata kisago cha uhakika.
 
Uongo, kafa kwa kipigo cha polisi
 
Nitapenda kuhudhuria huu msiba
 
Wamepiga mtu wa watu wanasingizia uongo tu kipidi hiki ukikamatwa ma polisi uwe kimya kwa lolote ukiomba msamaha tu basi unapigwa mpaka ndio yanayotokea kama visingizio hivyo!
 
Uchunguzi unahitajika likely kala kichapo heavy!

Kumchania sare askari halafu upelekwe kituoni ukawe chini ya askari!!
 
Huu ni uongo tena bila aibu,

Polisi wanapiga hovyo watuhumiwa halafa wanakuja na sababu za kijinga wanapofariki kwa Mateso.

Hapa mmenikera, hovyo kabisa aliyetoa sababu hii kuwa imepelekea kifo.
 
Polisi waache uongo,tangu lini mtu akivuliwa hirizi anakufa?uchunguzi ufanyike atakuwa kapigwa huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…