Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji

Yani nyoka kiboko, na uji kanywa bure na kutoka hajatoka. Yani ni mbishi zaidi ya nick
 
Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Wapo nyoka wanaogonga meno yanabaki na anaweza kukugonga tena na tena, mojawapo ni Mamba's awe green/ black Mamba anaweza gonga zizi zima la ng'ombe
 
Ung'atwe na KOBOKO halafu uzimie !..halafu utoke nduki !..
labda ana ngozi ya nyegere.
 
Au labda ni artificial,maana kama nyoka amefikia kugida uji wa moto kama maji ya baridi huyo tutaamini ni wa kawaida mkuu??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Mganga kawazidi akili yaani hivi baada koboko kuingiza kichwa kwenye uji wa moto sumu yake inakuwa haina nguvu kali tena kama awali japo mbinu ya mganga aliye mbwinu mbunu ilifeli maarifa tu.
 
Piga picha anakimbia huku amefunga msuli
 
Kwanini waganga wote ni waislamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…