Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umoja upi ?Mama anataka kuleta umoja , wewe umekaza fuvu kuleta uvyama
Bwashee siasa siyo uadui. Tatizo chadema wote ni zero brains hawaajirizi kwa hiyo lazima waendeleze vurugu ili waendelee kutambulika Kama wapoHili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe .
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM , yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora , akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM , sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba , ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF , na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi , na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025 , ambaye hata Chama chake hakijampitisha ,
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia , Bali tunachouliza ni hiki , JE KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI ?
Le profesorer🚶Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe .
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM , yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora , akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM , sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba , ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF , na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi , na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025 , ambaye hata Chama chake hakijampitisha ,
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia , Bali tunachouliza ni hiki , JE KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI ?
Kama mzee maarufu kutokea TaboraHili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe .
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM , yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora , akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM , sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba , ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF , na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi , na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025 , ambaye hata Chama chake hakijampitisha ,
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia , Bali tunachouliza ni hiki , JE KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI ?
Mtumikwa wa chamadola.Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe .
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM , yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora , akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM , sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba , ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF , na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi , na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025 , ambaye hata Chama chake hakijampitisha ,
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia , Bali tunachouliza ni hiki , JE KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI ?
Siasa na wanasiasa wa Kigoma huwezi kuwaamini daimaYule ni Mzee wa Bahasha Propesa Lipumba. Mwamala ukisoma hana ajizi.