Lalo Salamanca
JF-Expert Member
- Dec 9, 2012
- 1,532
- 1,118
Maendeleo hayana chama...nasema uwongo ndugu zangu?? Haya Mbunge wa hapa yuko wapi?
...Niko hapa[emoji16], Haya na wewe unachangia ngapi? Maendereo hayana chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo hayana chama...nasema uwongo ndugu zangu?? Haya Mbunge wa hapa yuko wapi?
Hujajibu swali mkuuwala haihusu yaani !
Hakuna swali hapoHujajibu swali mkuu
Jibu: Kama mpambe wa rais na CCM.Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Kama mnyamwezi wa Tabora.
Shalow reasoning ni ya nani sasa mkuu? Yangu mimi au huyo niliyemnukuu?shallow reasoning on basic facts!
Umekwenda nje ya hojaHakuna swali hapo
uliyemnukuuShalow reasoning ni ya nani sasa mkuu? Yangu mimi au huyo niliyemnukuu?
Huu mkusanyiko wenu full watu wa kitengo. Unamdanganya nani chief?Itakuwa mna kitengo duni sana ! Kumtumia Mzee ambaye hana Mke wala Mtoto hata wa kusingiziwa kwa jamii ya kiafrica huwezi kueleweka
Tangu lini mimi nilikuwa kitengo ?Huu mkusanyiko wenu full watu wa kitengo. Unamdanganya nani chief?