Tabora: Profesa Lipumba anahutubia kwenye Ziara ya Rais Samia kama nani?

Tabora: Profesa Lipumba anahutubia kwenye Ziara ya Rais Samia kama nani?

Huyo Mzee anaitamani sana tuzo ya Mo Ibrahim huwa hakosi kuiota Kila anapopata wasaa wa kuota, hivi karibuni amemuotea Chief Hangaya.... Swali ni : Yeye atapata manufaa gani ?🤗
 
Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.

Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.

Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Jibu: Kama mpambe wa rais na CCM.
 
Itakuwa mna kitengo duni sana ! Kumtumia Mzee ambaye hana Mke wala Mtoto hata wa kusingiziwa kwa jamii ya kiafrica huwezi kueleweka
Huu mkusanyiko wenu full watu wa kitengo. Unamdanganya nani chief?
 
Back
Top Bottom