Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Tetesi zinasema hata Pasaka Njaa anapokea bahasha kutoka kwa Makamo Mwenyekiti wa chama Dola.Yule ni Mzee wa Bahasha Propesa Lipumba. Mwamala ukisoma hana ajizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tetesi zinasema hata Pasaka Njaa anapokea bahasha kutoka kwa Makamo Mwenyekiti wa chama Dola.Yule ni Mzee wa Bahasha Propesa Lipumba. Mwamala ukisoma hana ajizi.
haki yake kikatiba,raisi amempa nafasi hiyo so hakuna shida.freedom of expression.Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe .
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM , yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora , akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM , sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba , ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF , na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi , na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025 , ambaye hata Chama chake hakijampitisha ,
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia , Bali tunachouliza ni hiki , JE KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI ?
Kama kuwadi mwenzenu wana saccos. Njaa mbaya, professor uchwara.Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe .
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM , yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora , akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM , sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba , ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF , na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi , na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025 , ambaye hata Chama chake hakijampitisha ,
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia , Bali tunachouliza ni hiki , JE KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI ?
Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM , yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora , akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM , sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba , ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF , na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi , na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025 , ambaye hata Chama chake hakijampitisha.
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia , Bali tunachouliza ni hiki , JE KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Ishakuwa nongwa? Kwani kuna sheria imevunjwa?Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM , yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora , akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM , sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba , ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF , na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi , na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025 , ambaye hata Chama chake hakijampitisha.
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia , Bali tunachouliza ni hiki , JE KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Jibu swaliIshakuwa nongwa? Kwani kuna sheria imevunjwa?
Hilo ni swali? Yule anayeendaga ikulu? Lipumba kaenda mchana kweupeeeHili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM , yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora , akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM , sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba , ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF , na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi , na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025 , ambaye hata Chama chake hakijampitisha.
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia , Bali tunachouliza ni hiki , JE KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Huyuni Traitor No.1 akifuatiwa na Zito No. 2Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Hivi mkijibu hilo swali mtapungukiwa nini ?Chadema mnataka Mbowe tu ndio awe karibu na Mama Samia, tatizo lenu mnataka u special fulani kwenye siasa za nchi hii... mkumbuke vyama vyote ni sawa mbele ya katiba, japo mnawafuasi wengi.
Anahutubia kama mwananchi na pia kama mwenyeji wa mkoa wa Tabora mkuu siasa sio uhasama hata mwenyekiti wenu wa SACCOS ruksa kuhutubia wananchi kwenye ziara za mama, jiulize kwanza mwenyekiti wenu wa SACCos alienda kukutana na mama usiku kama nani?Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Asante kwa majibu yako duniAnahutubia kama mwananchi na pia kama mwenyeji wa mkoa wa Tabora mkuu siasa sio uhasama hata mwenyekiti wenu wa SACCOS ruksa kuhutubia wananchi kwenye ziara za mama, jiulize kwanza mwenyekiti wenu wa SACCos alienda kukutana na mama usiku kama nani?
Kwani Rais Samia anakatazwa kumpa nafasi Mtanzania yeyote kutoa mawazo yake katika mkutano?Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Siku izi kuna Kuna jina jipya "CHAWA"
Walid Kabouru?Siasa na wanasiasa wa Kigoma huwezi kuwaamini daima
Mleta mada huwa anataka nafasi hizo apewe aliemtuma kuandika uharo huu, akipewa mwanasiasa mungine kinyume na boss wake inakuwa nongwa.Kwani Rais Samia anakatazwa kumpa nafasi Mtanzania yeyote kutoa mawazo yake katika mkutano?
Achana na Lipumba, Mtanzania yeyote yule.
Je, Lipumba ni Mtanzania au si Mtanzania?