LUTULWITU
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 584
- 983
Ni kweli, wapumbavu hawakosekaniNgoja watetezi waje kupingana na waziri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, wapumbavu hawakosekaniNgoja watetezi waje kupingana na waziri
Nongwa tu, nataka uwe mchumba angu nikufundishe adabu.Mimi nashauri bangi iruhusiwe tu, hizi bangi za kujificha ndiyo zinawafanya muwe na wazimu.
Kuna mpaka video clips kabisa zinahusisha Wavulana ila naona walichokamata ni picha ya Girl to GirlWangeambatanisha na hizo picha ili tujiridhishe kuwa ni kweli za utupu.
Tuna sheria na hovyo na kama taifa pia tumefeli pakubwa katika maadili.Haelewi kuwa kufa nya hivyo ni kuwaambia, sasa kafanyeni kweli.
Wakuu habari zenu!
Kuna hii taarifa ya hawa watoto wa Shule kufukuzwa huko Tabora, kuna namna sauti inatakiwa kupazwa kutokana na adhabu kubwa waliyopewa ukilinganisha na umri wao, walikuwa na nafasi yakuonywa na kuendelea na masomo ila sio kukatiza mazima.
Wanafunzi wawili wa kike kutoka shule moja ya sekondari mkoani Tabora, wamefukuzwa shule kwa makosa ya kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Gwajima D , amewataka maafisa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii na maafisa Elimu wote nchini kuimarisha madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kusaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi.
Soma, Pia:
+ Tabora: Wanafunzi Tabora wakamatwa na simu zaidi 120 zilizoungwa makundi wanayotumia kutumiana picha/video za ngono
Ikiwa wasanii wetu ndio wabomozi wakubwa ambao tunataka wawe mbele kulinda maadili na kuigwa na vijana (role model).KAMA TAIFA TULIKWISHA FAIL KITAMBO SANA KATIKA SUALA LA MALEZI
Sheria gani imetumika kuwafukuza?Wakuu habari zenu!
Kuna hii taarifa ya hawa watoto wa Shule kufukuzwa huko Tabora, kuna namna sauti inatakiwa kupazwa kutokana na adhabu kubwa waliyopewa ukilinganisha na umri wao, walikuwa na nafasi yakuonywa na kuendelea na masomo ila sio kukatiza mazima.
Wanafunzi wawili wa kike kutoka shule moja ya sekondari mkoani Tabora, wamefukuzwa shule kwa makosa ya kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka maafisa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii na maafisa Elimu wote nchini kuimarisha madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kusaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi.
Soma, Pia:
+ Tabora: Wanafunzi Tabora wakamatwa na simu zaidi 120 zilizoungwa makundi wanayotumia kutumiana picha/video za ngono
Watafundisha wengine tabia mbaya. Adhabu hiyo ni sawaHiyo ni adhabu kubwa Kwa watoto
Tushajua ni watoto na walifanya utoto
Wawape adhabu hata ya viboko
Lakini wawape fursa ya kusoma tena
Mtu hubadillika, wanaweza kubadilika na kuwa wema
Sio hekima hiyo kumfukuza mtoto shule
Adhabu ni kaliWatafundisha wengine tabia mbaya. Adhabu hiyo ni sawa
Wivu wa kikeBora u eiona hilo. Zamani sana nimesemq hapa JF, uyu nafaa kuwa waziri wa zimamoto.
Tazama alivyosema, eti maadili "kwenye madawati"?
Kwa ufupi hana ubunifu kabisa, anachokijuwa yeye ni kuwahi kuzima moto tu ukishawaka. hajuwi kuzuwia moto usiwake.
Nimecheka kwa sautiYaani hawa watoto wetu wamekosa maadili kabisa Yaani sie wazazi tunajinyima mengi ili watoto wasome halafu mwisho wa siku wanatutia aibu!
Hebu kiongozi nisaidie kunitumia hizo picha hapa ili tujaribu kushauriana kama wazazi
Shenzi kabisa hilo ndio onyo sahihi kwao .hao ukiwabakisha wata waaribu wengineWakuu habari zenu!
Kuna hii taarifa ya hawa watoto wa Shule kufukuzwa huko Tabora, kuna namna sauti inatakiwa kupazwa kutokana na adhabu kubwa waliyopewa ukilinganisha na umri wao, walikuwa na nafasi yakuonywa na kuendelea na masomo ila sio kukatiza mazima.
Wanafunzi wawili wa kike kutoka shule moja ya sekondari mkoani Tabora, wamefukuzwa shule kwa makosa ya kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Gwajima D , amewataka maafisa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii na maafisa Elimu wote nchini kuimarisha madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kusaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi.
Soma, Pia:
+ Tabora: Wanafunzi Tabora wakamatwa na simu zaidi 120 zilizoungwa makundi wanayotumia kutumiana picha/video za ngono
hakuna siri, kwa mtazamo wangu, katika mawaziri failures wa mama Samia huyu Dkt. Gwajima D anaongoza.
Taifa limeporomoka kabisa kimaadili mpaka naamini kuwa yeye ndiye muhusika mkuu wa maadili kuporomoka kwa kushindwa kwake kudhibiti kwa njia za kisasa.
Nilicheka peke yangu, aliponambia humu JF kuwa anatumia mbinu za enzi za mMkapa kupambana na matatizo ya sasa.
Nilimponda hapohapo, kwani hata nilipojaribu kumshauri alikuwa hanielewi kabisa. Nikaelewa kuwa huyu mwanamke hana ubunifu kabisa.
Tunajionea maadili ya jamii yanavyozidi kuporomoka kila kukicha.
Kwa hili yuko sahihi hao wanafunzi ni washenz na hakuna kutetea uovu hakj sawa kwa wotehakuna siri, kwa mtazamo wangu, katika mawaziri failures wa mama Samia huyu Dkt. Gwajima D anaongoza.
Taifa limeporomoka kabisa kimaadili mpaka naamini kuwa yeye ndiye muhusika mkuu wa maadili kuporomoka kwa kushindwa kwake kudhibiti kwa njia za kisasa.
Nilicheka peke yangu, aliponambia humu JF kuwa anatumia mbinu za enzi za mMkapa kupambana na matatizo ya sasa.
Nilimponda hapohapo, kwani hata nilipojaribu kumshauri alikuwa hanielewi kabisa. Nikaelewa kuwa huyu mwanamke hana ubunifu kabisa.
Tunajionea maadili ya jamii yanavyozidi kuporomoka kila kukicha.
Kimsingi kuwafukuza watoto sio swala wawataftie Ata fani "tusitumie tu Ile kauli ya asiyefunzwa na mamaye maana wahenga wanasema mtoto akinyea mkono usimkate mkono usafi she na umuelekeze kwa adhabu " ambayo ni win win to both side mkosea na mkosewa wapewe viboko vingi nawakae chini ya uangalizi mara nyingi
Watoto kama hao kama ni dull darasani wapelekwe veta Nina imani watatoka vizuri jaribu kufanya research vijana ambao hawakuwa wazuri darasani Ata kinidhamu kweny maisha au mtaani kuna angle wanakuwaga na ustadi mkubwa