Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu

Moja ya story inayohuzunisha Sana,
Cha muhimu achana na ndgu , saidia kidg Kwan we ukifa nani,

Saidia kiasi tu
 
Nje ya box;
mkuu nahisi wewe una matatizo ndiyo maana hao wanawake wawili mmeshindwana bila sababu za msingi kuwa makini na ujirekebishe hata huyo watatu angalia sana.Yawezekana una matatizo fulani kwa vyovyote hutayazungumza hapa.
Mke wa kwanza alipata mtu akamwambia kuwa nakuacha.
Wa Pili alioa akiwa mentally unfit Tena single mama watt watatu .ama hujaelewa. Nesi alimuelewa pia nadhani.

Narudia kusema Kama kila siku kuwa wanaume tuko vizuri Ni mbususu ndio zinazotuangusha Basi. Yaani ikiwepo dawa ama kidonge unameza miaka mitano huna hisia unaweka Mambo yako sawa tungekuwa sawa. Niko primary namuomba Mungu anisaidie niende boarding school wanaume. Namshukuru nilipata hitaji langu
 
Sjaona kosa katika maisha yako ila fata sana akili yako mwanamke alikushauri omba kazi wakati ulishakua vizuri biashara itakua ngumu kwako bora utulie save pesa yako tu
 
Ila jamaa huyu Ni mpambanaji mno Nina Imani na wewe utatoboa.

Yaani aliyekuchomea kwa aliyekubinafishia labda alitaka aibe mbinu unazotumia.


Ila binadamu Ni wanyama kiasili.


Naomba tuwe tunabadilishana mawazo Kama hutojali your no kwa pm yangu.

Naona kwa mbali Kuna vinasaba vinashabihiana.


Ama hapa watu watahisi kuwa Kuna upigaji labda ama.


Ila let us be close, just kwa phone tu I can see Kuna something ahead
 
,Nakadori wangu ukuje my
 
Ni kweli mkuu ,lengo langu ni kuja kuacha kazi serikalini ili niweze kusimamia Mambo yangu ,kwa Sasa kwenye upande wa ufugaji wa kuku Niko vizuri ,siku nikifikisha mil 100 nitaacha kazi ,hivyo vitu nikivyoorodhesha hapo ni vingi lakini naanza na kimoja kimoja
Kule nilipotoka Nina nyumba 2 ,dodoma Nina kiwanja ,mwanza ninacho pia ,kile Cha dar yule mwanamke wa kwanza alichukua ,nasikia ameshakiuza

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Ushauri wangu rudi jijini Dar es salam , huko wilayani utatumia nguvu kubwa na miaka mingi sana ili kufika unapotaka kufika.
 
Asante kwa umakini wako

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Poa mkuu nitakutafuta

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 

The risen and fallen of the bravo [emoji1490] man..


Wanawake ni mashetani fullstop...

Ungekua pekee yako toka mwanzo ndoto zako zingekamilika vizuri kabisa
 
Chief

Kwanza pole Sana Kwa changamoto ulizopitia

Mosi, kama walivyosema baadhi ya wadau nadhan biashara ya huduma za afya ingekufaa Sana ukichukulia uzoefu ambao uliupata dar na ulifanikiwa Sana,hivyo hauanzi na kitu kipya.

Pili,nimependa wewe ni famili man,na ni Jambo zuri Sana la kuoa,na hata kama bahati mbaya huyu mke akizingua usiseme Sito oa tena,hapana ndoa ndio kila kitu,ndio tulizo la nafsi na ndio umbile tulilo umbiwa na Allah, Ila usiwe mpole Sana Kwa mkeo,hakikisha nidhamu ya nyumba inachukua mkondo wake la sivyo utapandwa kichwani,kumbuka wanawake ni watu WA ajabu Sana,anaweza sikia mwenzake anakoromewa na mumewe akajikuta anatamani kuwa na mwanaume mwenye mamlaka anayeweza kusimama kama mwanaume.

Mwisho, fanya biashara zote lkn ya magari ya abiria ni pasua kichwa Sana,kama ukitaka kuwa na stress basi fanya hiyo biashara Yani hata ukiwa kibonge hauhitaji kupunguza uzito Bali stress za kuyafuatilia ni dawa tosha ya kupunguza uzito, kifupi inahitaji usimamizi WA karibu Sana, nimewahi kuwa na uzoefu huo kupitia mradi WA familia,kwahiyo najua hizo changamoto vizuri Sana. Na hata ukifanya tafiti Kwa wenye biashara hizo kama watakuwa wakweli kwako watakwambia Hali halisi.

Wewe ni mpiganaji na Kikubwa huna Maisha ya anasa na starehe hivyo future nzuri inaonekana.

Kila la kheri.
 
Mi naona una nyota ya biashara bora ungebaki Dar au utafte mtaji ukafungue ofisi Dar,utoke vijijin utatoboa mapema,kosa ulilofanya mwanzo hukua na mlinzi thus why, yule nes alipata mwanya wa kuingia ndani na kufanya vitimbwi,ungekuwa umetoa order kwa mlinzi, kuwa haruhusiwi kuingia ,angeishia getini,. All in all, nimegundua kuwa mimi nna roho ngumu sana, yaani jasiri mno..maana nilishapitia maswahibu km hayo kazin(lakini kada nyingine) ,jumlisha mahusiano,mixer ndugu, lakini nilisurvive.bila kupelekwa milembe,ngoja nijipepige kifuani mara tatu ,aisee mimi ni jembe..[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…