Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Hapa kuna kusikia au au kuona?Haujaskia au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kuna kusikia au au kuona?Haujaskia au?
Kwani haujawahi kusikia njaaHapa kuna kusikia au au kuona?
Bora waende. Ni aibu kuendelea kupokea msaada wa ARVs pamoja na condoms. Magufuli na regime yake sasa wafill hili gap. Hakuna namna nyingine
Nasema hivi: hamuwezi kuwa mnagongana daily harafu mnasubiri beberu aje kuwapa condoms na ARVs bure. Kama mnaweza kununua ndege kwa cash money, mnaweza kulipia condoms ninyi[emoji846]
Tuliwaambia, wakabisha vijana wa buku 7Imagine unasoma ujumbe kama huu na hujawahi kabisa kucheck afya yako kujua upo upande upi...
Hapa Tunazungumzia njaa au ni vidonge? 🤔Kwani haujawahi kusikia njaa
Yeye mwenyewe ni mmoja wapo.Subirieni kauli ya Amaboko endapo mtaanza kufa kama mende...
"Serikali yangu haijakutumeni mkagongane kifala! Nyie kufeni tu 😂😂😂 watazaliwa wengine"
Kufahamu afya yako kwa kupima maambukizi ya huu ugonjwa ni muhimu sana kuliko kawaida....Tatizo mayanki wa siku hizi umachinoo na kudanganyana kwingi.......!!!!Tuliwaambia, wakabisha vijana wa buku 7
USITUTISHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Moshi. Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids) imesema wafadhili wa dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi ya Ukimwi wamejitoa.
Taarifa hiyo imetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa Tacaids, Leonard Maboko kwenye ufunguzi wa wiki ya Ukimwi duniani uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Mandela vilivyopo Kata ya Pasua, Moshi mjini.
Hata hivyo, alisema mfuko ulioanzishwa na tume hiyo (AIDS Trust Fund) ulioanzishwa mwaka 2015 utasaidia kuziba pengo litakalokuwepo kwa miaka miwili.
“Wafadhili wameendelea kupungua nchini lakini huu mfuko wa ndani utasaidia kupunguza haya mapengo,” alisema Maboko.
Sasa hivi, alisema wafadhili wanatoa dawa za ARV lakini dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi wamejitoa.
Alisema mfuko huo utawasaidia Watanzania wanaohitaji dawa zilizokuwa zinatolewa na wafadhili waliojitoa.
Kwa upande wake, mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira alisema takwimu zinaonyesha maambukizo ya Ukimwi yamepungua mkoani humo kutoka asilimia 7.2 mwaka 2004 mpaka asilimia 2.6 mwaka 2018.
Aidha aliwataka wananchi kujitokeza kupima afya zao kwani kwa kufanya hivyo kutasaidia kujua hali za afya zao na kupunguza maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi.
Kilele cha siku ya Ukimwi duniani ni Desemba mosi.
Chanzo: Mwananchi
Yeye sasa si kashikilia koba la hela hazina 😂 atajiagizia tu hata boksi 100! Shida ipo kwa raia ambao walishasahau kwamba kuna kirusi cha miwayaYeye mwenyewe ni mmoja wapo.
Kama aliweza kupeleka ndege Madagascar, hili kwake ni dogo. Hapo South Africaetu kuna pharmacy za watu binafsi wana supply ya moja kwa moja kutoka Ulaya na Marekani.Yeye sasa si kashikilia koba la hela hazina 😂 atajiagizia tu hata boksi 100! Shida ipo kwa raia ambao walishasahau kwamba kuna kirusi cha miwaya
Hahahahah kwamba awaagizie na nyie😂!!! Nikikumbuka "Serikali haijaleta tetemeko" huwa nawaza deep sana.Kama aliweza kupeleka ndege Madagascar, hili kwake ni dogo. Hapo South Africaetu kuna pharmacy za watu binafsi wana supply moja kwa moja kutoka Ulaya na Marekani.
Hali ikoje huko field mkuu?Wee unasemaje, yaani akili zako kama za mjinga mmoja ambaye akili yake haifiki hata robo kilo. Unahisi wakijitoa itakuwaje kwa wagonjwa wanaohitaji hizo dawa.
Anyway nisikulaumu sana huenda usijue mambo yalivyo kwenye huduma za kiafya kwenye vituo vya kutolea huduma hasa hizi dawa za kufabaza VVU.
Huyu selfish ambae yuko tayari kutuua wote abaki madarakani, ingekua waathirika wote ni Chadema angekunywa mvinyo.Hahahahah kwamba awaagizie na nyie😂!!! Nikikumbuka "Serikali haijaleta tetemeko" huwa nawaza deep sana.
Hahah we jamaa ni mwehu hahahahahahah daah.Subirieni kauli ya Amaboko endapo mtaanza kufa kama mende...
"Serikali yangu haijakutumeni mkagongane kifala! Nyie kufeni tu 😂😂😂 watazaliwa wengine"