Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Imagine unasoma ujumbe kama huu na hujawahi kabisa kucheck afya yako kujua upo upande upi...
Dawa ya Ukimwi ni kuepuka kupima - Philosopher FidQ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine unasoma ujumbe kama huu na hujawahi kabisa kucheck afya yako kujua upo upande upi...
hatari sanaHuyu selfish ambae yuko tayari kutuua wote abaki madarakani, ingekua waathirika wote ni Chadema angekunywa mvinyo.
HUO MKOPO WANAOMBA KWA MABEBERU HAWAA AU WENGINE???Kitakachofuatia ni serikali kuomba mkopo wa dharura WHO kushirikiana na World Bank ili kuokoa maisha ya waathirika.
Mkuu acha uoga.Leo nilikuw na appointment ngoja nicancel...
ohoooo""""Impact ya kula tunda kimasihara
Acha safari iendelee
Kwahyo umeamua kuishi na idea ya fid q........??Dawa ya Ukimwi ni kuepuka kupima - Philosopher FidQ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subirieni kauli ya Amaboko endapo mtaanza kufa kama mende...
"Serikali yangu haijakutumeni mkagongane kifala! Nyie kufeni tu [emoji23][emoji23][emoji23] watazaliwa wengine"
wewe jamaa si mwathirika pia?Usimtaje bwana Mungu wako hovyo hovyo/bure.Mungu huwa hanusuru wajinga.Baada ya CCM kulawiti uchaguzi na wananchi wakakenua meno,mikwaju ya bakora inaanza kuja.The worst is yet to come!
Niliathirika baada ya kutembea na Ina hapa JF!wewe jamaa si mwathirika pia?
Moshi. Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids) imesema wafadhili wa dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi ya Ukimwi wamejitoa.
Taarifa hiyo imetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa Tacaids, Leonard Maboko kwenye ufunguzi wa wiki ya Ukimwi duniani uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Mandela vilivyopo Kata ya Pasua, Moshi mjini.
Hata hivyo, alisema mfuko ulioanzishwa na tume hiyo (AIDS Trust Fund) ulioanzishwa mwaka 2015 utasaidia kuziba pengo litakalokuwepo kwa miaka miwili.
“Wafadhili wameendelea kupungua nchini lakini huu mfuko wa ndani utasaidia kupunguza haya mapengo,” alisema Maboko.
Sasa hivi, alisema wafadhili wanatoa dawa za ARV lakini dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi wamejitoa.
Alisema mfuko huo utawasaidia Watanzania wanaohitaji dawa zilizokuwa zinatolewa na wafadhili waliojitoa.
Kwa upande wake, mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira alisema takwimu zinaonyesha maambukizo ya Ukimwi yamepungua mkoani humo kutoka asilimia 7.2 mwaka 2004 mpaka asilimia 2.6 mwaka 2018.
Aidha aliwataka wananchi kujitokeza kupima afya zao kwani kwa kufanya hivyo kutasaidia kujua hali za afya zao na kupunguza maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi.
Kilele cha siku ya Ukimwi duniani ni Desemba mosi.
Chanzo: Mwananchi
mwanangu sasa huko unaenda mbali. hujui Inna ni wife wangu kabisa , acha mizahaNiliathirika baada ya kutembea na Ina hapa JF!
Hizo ARV mbona hawajaacha kutoa? Waache kutoa na hizo uone kama kuna mtu atakufa, maana hizo ARV ndio zinaua watu kwa sasawatu wasije wakaanza kupukutika kama mende tu.Mungu atunusuru kwa hili
Kwahyo umeamua kuishi na idea ya fid q........??
sio kweli. hizo stori zako za kahawa mkuu. na inawezekana umezaliwa miaka ya 1998Hizo ARV mbona hawajaacha kutoa? Waache kutoa na hizo uone kama kuna mtu atakufa, maana hizo ARV ndio zinaua watu kwa sasa
✓[emoji769] Mzungu kakasirika, vita ya uchumi inaendelea tutakoma kudadadeki naona sasa apa ndio maiti zitaokotwa kama MKE wa Bill gates alivyosemaJaman tupambane hamna namna
Vita ni vita ingawa vita haina macho
Sio mbaya.......Namuamini FidQ kuliko maandiko.
✓[emoji769]Tutegemee Condom kuuziwa elfu 10 na ARV kutoka bure mpaka laki kwa matumizi ya mwezi.Nasema hivi: hamuwezi kuwa mnagongana peku daily harafu mnasubiri beberu aje kuwapa condoms na ARVs bure. Kama mnaweza kununua ndege kwa cash money, mnaweza kulipia condoms ninyi[emoji846]