TACAIDS: Wafadhili wa dawa za kupambana na kuzuia magonjwa nyemelezi ya UKIMWI wamejitoa

Status
Not open for further replies.
Bora waende. Ni aibu kuendelea kupokea msaada wa ARVs pamoja na condoms. Magufuli na regime yake sasa wafill hili gap. Hakuna namna nyingine

Wee unasemaje, yaani akili zako kama za mjinga mmoja ambaye akili yake haifiki hata robo kilo. Unahisi wakijitoa itakuwaje kwa wagonjwa wanaohitaji hizo dawa.

Anyway nisikulaumu sana huenda usijue mambo yalivyo kwenye huduma za kiafya kwenye vituo vya kutolea huduma hasa hizi dawa za kufabaza VVU.
 
Usishangilie ujinga

Jiupushe na ngono zembe ukizingatia yakuwa na mwenza mmoja muaminifu,

Fanya mazoezi Mara kwa Mara na zingatia kula mlo kamili pamoja na matunda,

Fanya kazi kwa juhudi kusaidia familia yako na taifa lako la Tanzania kukamilisha lina simama imara,

Linda usalama wako na wa mwenzako ili kuhakikisha nchi yako Tanzania inabaki salama kiafya na mazingira.
 
USITUTISHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Yeye sasa si kashikilia koba la hela hazina 😂 atajiagizia tu hata boksi 100! Shida ipo kwa raia ambao walishasahau kwamba kuna kirusi cha miwaya
Kama aliweza kupeleka ndege Madagascar, hili kwake ni dogo. Hapo South Africaetu kuna pharmacy za watu binafsi wana supply ya moja kwa moja kutoka Ulaya na Marekani.
 
Kama aliweza kupeleka ndege Madagascar, hili kwake ni dogo. Hapo South Africaetu kuna pharmacy za watu binafsi wana supply moja kwa moja kutoka Ulaya na Marekani.
Hahahahah kwamba awaagizie na nyie😂!!! Nikikumbuka "Serikali haijaleta tetemeko" huwa nawaza deep sana.
 
Hali ikoje huko field mkuu?
 
Hili jambo ni hatari sana

Ukweli ni kwamba hizi ARV zimesaidia sana kupunguza maambukizi hasa kwa sababu watu wanaanza kutumia mapema. Sasa zikikosekana tutaanza kutafutana hapa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…