Tafadhali mwenye Vifuatavyo anitafute upesi PM nivinunue hata kwa Tsh Milioni 5

Tafadhali mwenye Vifuatavyo anitafute upesi PM nivinunue hata kwa Tsh Milioni 5

1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.

Mshana…Mshana…. Mshana upo wapi??? tayari huku kimewaka.
 
1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.
Mkuu hizi requirements zote ukienda kwenye maduka ya waganga na magenge ya wachawi unavipata bila shida.. ila mkuu nimegundua una roho ngumu kama malaika wa kuzimu..
 
1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.
Stress is real
 
Kuna mpuuzi mwingine kule jukwaa la siasa nae pamoja na upungufu wake wa akili bado alipewa tuzo
 
Kuna mpuuzi mwingine kule jukwaa la siasa nae pamoja na upungufu wake wa akili bado alipewa tuzo
Kwanini Mpumbavu na Mswahili Wewe hukuwa Nominated ili Wewe sasa ndiyo upewe Tuzo?

Sasa kama huna impact yoyote hapa JamiiForums, siyo Crowd / Readers Puller na huna Mvuto, Madini ( Akili ) utawezaje kupewa Tuzo au kuwa maarufu kama GENTAMYCINE na Wenzangu wote tuliopewa Tuzo hizo Tukuka?

Je, uko tayari tuuombe Uongozi wa JamiiForums utuandalie ( Mimi na Wewe ) Shindano lolote hapa kisha Watu ( Members ) wapige Kura uone kama Sitokushinda?

Sasa kama GENTAMYCINE nina Utajiri wa Followers 149+ hapa JamiiForums naweza Kweli Kutoshinda Shindano lolote lile nikiwa Nominated na Uongozi wa huu Mtandao?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!

Cc: Arovera
 
Kwanini Mpumbavu na Mswahili Wewe hukuwa Nominated ili Wewe sasa ndiyo upewe Tuzo?

Sasa kama huna impact yoyote hapa JamiiForums, siyo Crowd / Readers Puller na huna Mvuto, Madini ( Akili ) utawezaje kupewa Tuzo au kuwa maarufu kama GENTAMYCINE na Wenzangu wote tuliopewa Tuzo hizo Tukuka?

Je, uko tayari tuuombe Uongozi wa JamiiForums utuandalie ( Mimi na Wewe ) Shindano lolote hapa kisha Watu ( Members ) wapige Kura uone kama Sitokushinda?

Sasa kama GENTAMYCINE nina Utajiri wa Followers 149+ hapa JamiiForums naweza Kweli Kutoshinda Shindano lolote lile nikiwa Nominated na Uongozi wa huu Mtandao?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!

Cc: Arovera
Sawa GENTAMYCINE The King
 
1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.
Hata ukipata vyote ulivyovitaja, JUMAPILI MTAPIGWA TU..!!
 
1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.
Tuliosoma cuba, maana yake mnyama kafa tayari 😅😅
 
1. Maji ya Mochwari (hasa yatokee Temeke Hospital au Amana) tu

2. Mchanga na Nyasi kidogo kutoka Kigamboni Avic Town au Jangwani Mafurikoni

3. Jezi ya Klabu Kubwa duniani ila iwe ni ama Njano au Kijani (ikiwepo ya Tanzania) itakuwa ni nzuri zaidi

4. Njiwa Saba (7) ila wawe ni Weupe na hawajabalehe bado.

5. Vyura Jike Tisa (9) na waokotwe kutoka maeneo ya Mafurikoni Jangwani.

6. Jeneza la Mbilikimo wa Congo DR na liwe ni fupi kweli kweli

7. Machozi ya Fisi Dume

Mwenye navyo anitafute upesi PM Pesa ipo na akiweza Kuvileta ambapo GENTAMYCINE nimepiga Kambi kuanzia leo hadi mpaka Jumapili (tarehe 16 April, 2023) Saa 4 Kamili Usiku itapendeza zaidi.

Ninatanguliza Shukran Kwenu nyote.
No.4 nina njiwa pori ila vingine vyote ni kama vimekamilika
 
Back
Top Bottom