Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo.

Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
Safi sana, kama unaushahidi waliohusuka kuyatuma Yale majini Yao.
Mtafanya vizuri Leo kuyadhibiti hayo madude Yao.
Kama mbwai na iwe mbwai tu
 
Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo.

Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
yanga sio timu ndogo,tuna uwezo wa kupokea matokeo yoyote yale
 
Back
Top Bottom