Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

Mleta mada katokomea msituni last seen tokea Jana saa 11 jioni anaogopa hata kuLog in Jf ,ila sidhani kama hayupo humu huenda anachungulia kwa aibu kubwa
IMG_20240225_061526.jpg
 
Uyu gentamycine mbona kakimbia tokea jumamosi ucku mpaka Sasa hivi aijulikani alipo na familia yake inamtafuta? Na alisema hapa tusikimbiane baada ya saa 3 usiku kulikoni Nini kimemkuta wadau?
 
Back
Top Bottom