adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Huyu mpaka aseme , huu Uzi utapigwa na makombora ya Masafa marefu kwa siku 3 consecutively non stop..Leo hamjalala wadau.ππππππ π€£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mpaka aseme , huu Uzi utapigwa na makombora ya Masafa marefu kwa siku 3 consecutively non stop..Leo hamjalala wadau.ππππππ π€£
@GENTAMAVI njoo kwenye uzi wako.Huyu mpaka aseme , huu Uzi utapigwa na makombora ya Masafa marefu kwa siku 3 consecutively non stop..
Mtani umeona kwamba hawa jamaa zako ni mbumbumbu yaani nyuzi zote zinawasuta wao wenyeweπππ Daah
Popoma mlimpa jina zuri sanaMleta mada katokomea msituni last seen tokea Jana saa 11 jioni anaogopa hata kuLog in Jf ,ila sidhani kama hayupo humu huenda anachungulia kwa aibu kubwa View attachment 2915548
Ulozi mnao nyie, hadi mlipigwa faini nchi zanje hukoooo kwa Madiba..!!Mm naamini ni ulozi hakuna kingine mtani...hahahaha
Majini aliyoyasema mayele yamefanya kaziMm naamini ni ulozi hakuna kingine mtani...hahahaha
Hahahaha wenyewe mlipigwa 5, jana mmeungana na Waarabu mmekula 4 kwahiyo mpaka hapo Simba 1-9 YangaTumewasaidia Waarabu kwa kila Kitu.
Wana simba wengi ni wahuni yaani mtu anaanzisha uzi wa kututaka tusikimbiane ila cha ajabu anakimbia yeye.Uyu gentamycine mbona kakimbia tokea jumamosi ucku mpaka Sasa hivi aijulikani alipo na familia yake inamtafuta? Na alisema hapa tusikimbiane baada ya saa 3 usiku kulikoni Nini kimemkuta wadau?
Tangu lini????ASANTE MUNGU KWA KUNIEPUSHIA UTOTO WA U SIMBA NA U YANGA.
anafata usemi mkubwa ukiabishwa chutamaWana simba wengi ni wahuni yaani mtu anaanzisha uzi wa kututaka tusikimbiane ila cha ajabu anakimbia yeye.
Wacha wee, na Waarabu wanavyopenda mtandao pendwa uliwabong'olea kabisa.Tumewasaidia Waarabu kwa kila Kitu.
Kolo unakana timu yako sio,hii ndio YangaASANTE MUNGU KWA KUNIEPUSHIA UTOTO WA U SIMBA NA U YANGA.
Anaugulia huko,hana tena marinda.Wacha wee, na Waarabu wanavyopenda mtandao pendwa uliwabong'olea kabisa.
Kuna tutusa la msimbasi uko Facebook linasema wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.Anaugulia huko,hana tena marinda.