Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

Leo ndiyo Muajentina Koko atawajua Oya Oya wa Mafurikoni kwa jinsi ambavyo Watamtukana, Watampopoa na hata kumpiga / kumuwamba Makofi akifanya mzaha.

Kudadadeki.
Wewe jamaa huna tofauti na OKW BOBAN SUNZU kwa sababu tabiri zenu zenu zote huwa zinaenda chaka hasa inapihusishwa Yanga. Haya hii aibu utaipeleka wapi? Kwa sababu wewe ndio umekimbia uzi
 
Back
Top Bottom